KIDUNDULIMA
JF-Expert Member
- Aug 18, 2010
- 966
- 537
Ndugu zangu kauli mbiu ya mafiga matatu ya CCM iepukwe kama ukoma maana inadumana maendeleo ya nchi, wilaya na kata.
Miaka mitano iliyopita tumeshuhudia mafinga matatu jinsi yalivyopitisha mambo nyeti ya nchi kibabe ukianzia na hitimisho la EPA, Richmond, ETC. Hivi sasa tung'ang'ania kauli mbiu ya figa mojamoja maana kwenyer bunge na halimashauri.
Hakutakuwa na siri tena, mambo yote yatakuwa hadharani na wananchi watajua nini kinaendelea kuhusu mstakabali wa maendeleo ya maisha yao, halmashauri na nchi yao.
Miaka mitano iliyopita tumeshuhudia mafinga matatu jinsi yalivyopitisha mambo nyeti ya nchi kibabe ukianzia na hitimisho la EPA, Richmond, ETC. Hivi sasa tung'ang'ania kauli mbiu ya figa mojamoja maana kwenyer bunge na halimashauri.
Hakutakuwa na siri tena, mambo yote yatakuwa hadharani na wananchi watajua nini kinaendelea kuhusu mstakabali wa maendeleo ya maisha yao, halmashauri na nchi yao.