Mizizi
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 1,275
- 391
- Thread starter
- #61
hospitali ya wilaya hakuna mtaalam wa x-ray. Hii ni dharau kwa wananchi wa mafia. Kisiwa kilivyojitenga kijiografia ilikuwa ni muhim sana kusogezewa huduma muhim na za msingi. Leo hii ukipatwa na ajali, ex ray hakuna, hadi upande ndege kwenda tanzania ama commoro. Sijui mkuu wa wilaya, mkurugenzi na takataka wengine wanasimamia nini hapa Mafia.