Nazjaz
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 7,684
- 8,833
Jamani naomba mnijulishe juu ya hili genge la kihuni, je bado lipo au limekufa?
Mbeya alikuwepo padre Mwalukasa, alikufa kifo cha kutatanisha na inasadikiwa eti alikuwemo kwenye kundi hili.
Swali la kujiuliza, je Mswahili unawezaje kuingizwa kwenye hili genge?
Mbeya alikuwepo padre Mwalukasa, alikufa kifo cha kutatanisha na inasadikiwa eti alikuwemo kwenye kundi hili.
Swali la kujiuliza, je Mswahili unawezaje kuingizwa kwenye hili genge?