mafataki mshindwe na mlegee,tena mkome na mkomae!!

we kituko heb wacha vituko! Huyu mtoto ni 10yrs old!, unategemea ajue nini?? Ofc'se she had no clue of what was goin to happen to her, on the return of the offer from that perv! Aaarghh:mad::mad:

tena usijidanganye hata kidogo, hizo tamthilia za nje na movie za kibongo wanazoangalia unadhani haziwafundishi hayo. Haya, na hayo matangazo hayasikii? Bwana alijua sana uroho wa 10,000 ndio ungemtokea puani, tuombe mungu tu atulindie watoto wetu
 
Ukishasema nae halafu fataki likaenda likamnanihii ukigundua utaanza kumlaumu mtoto wako wa miaka kumi kwamba hakusikiliza maneno uliyomuasa na kuona fataki limefanya cha maana, cause mtoto hasikii ya wazazi au dena leo umeamkaje mpenzi una watoto lakini? waujua uchungu wa mwana

my dear,mie sina watoto bado lkn bado sielewi inakuaje mtu atupie mtoto lawama,mie nimechoka kabisa hata nguvu za kujitahidi kuwaelewesha sina maana nawapenda sana watoto wa ndugu zangu na my life will never be the same iwapo jifataki litawafanyia kitendo kilichofanywa kwa binti huyu sbb naweza kuua nifie jela.wazazi wanaongea lkn kama ulivyosema lkn watoto bado ni rahisi kudanganywa na watu wababya.
 
Mwili wote umepata ganzi jmn dunia inaenda wapi ss:redfaces::redfaces::redfaces:

dunia sio mbaya walimwengu sie ndio wabaya.
tena cha kusikitisha ambayo hayaripotiwi katika media ni mengi na maovu kuliko hata haya.too bad.
 
tena usijidanganye hata kidogo, hizo tamthilia za nje na movie za kibongo wanazoangalia unadhani haziwafundishi hayo. Haya, na hayo matangazo hayasikii? Bwana alijua sana uroho wa 10,000 ndio ungemtokea puani, tuombe mungu tu atulindie watoto wetu

???
 
tena usijidanganye hata kidogo, hizo tamthilia za nje na movie za kibongo wanazoangalia unadhani haziwafundishi hayo. Haya, na hayo matangazo hayasikii? Bwana alijua sana uroho wa 10,000 ndio ungemtokea puani, tuombe mungu tu atulindie watoto wetu

Umesema kweli wanajua kila kitu hawa siku hizi bwana
 
Ukishasema nae halafu fataki likaenda likamnanihii ukigundua utaanza kumlaumu mtoto wako wa miaka kumi kwamba hakusikiliza maneno uliyomuasa na kuona fataki limefanya cha maana, cause mtoto hasikii ya wazazi au dena leo umeamkaje mpenzi una watoto lakini? waujua uchungu wa mwana

Maty nina watoto wanne dada Wakike watatu wakiume mmoja na ninasema nao kila siku naona wanalewa
 
wewe sijui ni baba sijui ni mama umenisikitisha sana unasema katoto kalaumiwe mtoto wa miaka 10, watoto ni rahisi sana kulaghaiwa hasa waishio katika mazingira magumu hv imagine angekua ni mtoto wako achekiwe akutwe na shimo kubwa sijui ungesema mwanangu umezidi wacha uwe na hilo shimo au (huna hata huruma) mwe
Uwiiiiiiii! Maty (SHIMO) hilo nalo nenooooo!
 
Maty nina watoto wanne dada Wakike watatu wakiume mmoja na ninasema nao kila siku naona wanalewa

Wanaweza kukuelewa sawa lakini hawa wanaume walivyo waongo si wenyewe tunaambizana kila siku na wenyewe wanatuambia hadi mbinu wanazotumia lakini mwisho wa siku wanatuliza na sisi ni watu wazima itakua hao watoto dia?
 
Kwa ukwuli mafataki walaaniwe hata kama ni pepo wango, jamani mpaka watoto wa umri wawajukuu zao wamezi.
 
Wanaweza kukuelewa sawa lakini hawa wanaume walivyo waongo si wenyewe tunaambizana kila siku na wenyewe wanatuambia hadi mbinu wanazotumia lakini mwisho wa siku wanatuliza na sisi ni watu wazima itakua hao watoto dia?

Let us pray for them.
 
Back
Top Bottom