Pundamilia07
JF-Expert Member
- Oct 29, 2007
- 1,439
- 54
Wananchi wana haki ya kumuuliza waziri DR. Shukuru Kawambwa, kwanini mpaka sasa hajaiweka hadharani report ya uchunguzi ya Prof. Mshoro na kamati yake juu ya ATCL? Kamati ilitumia fedha nyingi za walipa kodi lakini mpaka sasa wananchi hawajaelezwa lolote. Waandishi wa habari kwanini hamfuatilii mambo kama haya?
Mkuu Bulesi,
You made a point. We can not keep on discussing issues zisizokuwa na kichwa wala miguu. Ni vema ile ripoti ya Mshoro iwekwe hadharani tuweze kuipitia na kuona tunaisadia vipi ATCL. My take: Mapendekezo ya Prof. Mshoro serikali haijayapenda.