Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,877
- 2,758
wadau nauliza. Nimeacha kazi shirika fulani miezi 6 iliyopita. Sasa niko nafanya kazi sekta nyingine. Nilikuwa mwanachama wa nssf kabla na baada ya kuacha kazi huko. Nafikiria kufuatilia mafao yangu lakini ninauliza kwanza. Huku nilipo mafao yangu ya nssf yanachangiwa kwa namba yangu ya zamani. Sasa baada ya hii miezi 6 naweza kwenda fuatilia yale mafao yangu ya awali kabla sijaacha kazi huko yakabaki yale yanayochangiwa na mwajiri wa sasa?