mwanaume anayenyanyaswa na mke wake home utamjua tu na kama ni bosi mtakoma hapo ofisini kwani ananza kugomba bila mpangilio hata kabla hajashuka kwenye gari. Kisa haziivi na mke wake nyumbani.
Hiyo picha uliyotumia ni ya ndoa changa. Ukiweza kupata picha ya watu haohao baada ya kuwa kwenye ndoa miaka kumi hutaamini unachokiona.
Ni kweli kabisa huyu ni confirmed mzinifu lol....partner wake alikuwa Minister I think, kwasasa amebadilisha channel, anakitu kipya ambaye alikuwa ni Journalist.
Wafaransa ni watu ambao hawaamini sana mambo ya marriage, thats my point of view.
gmosha48 somo hili nimewalenga zaidi wanandoa wachanga na wale wanaoelekea kwenye ndoa..........Mkuu, somo zuri. Hiyo picha uliyotumia ni ya ndoa changa. Ukiweza kupata picha ya watu haohao baada ya kuwa kwenye ndoa miaka kumi hutaamini unachokiona.
Mke anapomjali na kumkubali mume humuongezea kujiamini…
Mahusiano kati ya mume na mke nyumbani huweza kumfanya mume afanikiwe kwenye shughuli zake au aanguke.
Kwa nini?
Ni kwamba, mtu ambaye anakataliwa na mtu au watu wanaomhusu huwa anakosa kujiamini, huwa anafikia mahali ambapo hujichukia hata yeye mwenyewe. Mke anapomkosoa mume, anapomlalamikia kila mara na kuwa na ghubu, bila kujali kama mume huyo amekosa au hapana, mume hufikia mahali huanza kujitilia mashaka kama kweli ana uwezo wa kufanya mambo, kama kweli ana thamani anayodhani kuwa anayo.
Kujiuliza huku mara nyingi kuna maana ya mwanaume kuanza kupoteza kujiamini na hata kuanza kuwa na uhusiano mbaya na watu anaohusiana nao mahali pengine kama kazini. Unaweza kumgundua mtu ambaye ana mke mlalamikaji, mkosoaji na mwenye ghubu kwa kuangalia jinsi anavyojitathmini. Kama mke ni mkosoaji na mwenye ghubu kwa mumewe ni lazima mume atakosa kujiamini katika kufanya mambo yake mengi, ni lazima ataanza kuwa na uhusiano mbaya na watu wengine kutokana na hukohuko kutojiamini kwake ambako kumesababishwa na ghubu na kukosoa kwingi kwa mkewe.
Mwanaume ambaye ana mke mkosoaji na mwenye ghubu hutokea kutowapenda watu wengine na kukosoa wengine inatokea kuwa sehemu muhimu kwa maisha yake, anatokea kuwa na hasira za karibukaribu na ni vigumu sana kwa mtu wa aina hii kuelewana na watu.
Baadhi ya makampuni huko Marekani, kabla hayajampandisha mtumishi wake cheo, humchunguza mke wa mtumishi. Hawachunguzi kama ni mzuri wa sura au kama anajua mapenzi au kupika vizuri. Mara zote huchunguza kama mwanamke huwa anampa mumewe moyo, kama hamkosoi na kumlalamikia na kama hana ghubu. Wanapogundua kwamba mke wa mtumishi siyo mkosoaji wala mwenye kulalamika-lalamika humpa cheo mtumishi kwa imani kwamba atakuwa ni mtu mwenye kujiamini.
Lakini wanapogundua kwamba mke ni mwenye kukosoa, mwenye ghubu na mlalamikaji, kamwe hawampi mtumishi cheo, kwa sababu wanaamini kwamba, mtumishi huyo hawezi kuwa makini, atakuwa hajiamini.
Mke anapomjali na kumkubali mume humuongezea kujiamini…
Mahusiano kati ya mume na mke nyumbani huweza kumfanya mume afanikiwe kwenye shughuli zake au aanguke.
Kwa nini?
Ni kwamba, mtu ambaye anakataliwa na mtu au watu wanaomhusu huwa anakosa kujiamini, huwa anafikia mahali ambapo hujichukia hata yeye mwenyewe. Mke anapomkosoa mume, anapomlalamikia kila mara na kuwa na ghubu, bila kujali kama mume huyo amekosa au hapana, mume hufikia mahali huanza kujitilia mashaka kama kweli ana uwezo wa kufanya mambo, kama kweli ana thamani anayodhani kuwa anayo.
Kujiuliza huku mara nyingi kuna maana ya mwanaume kuanza kupoteza kujiamini na hata kuanza kuwa na uhusiano mbaya na watu anaohusiana nao mahali pengine kama kazini. Unaweza kumgundua mtu ambaye ana mke mlalamikaji, mkosoaji na mwenye ghubu kwa kuangalia jinsi anavyojitathmini. Kama mke ni mkosoaji na mwenye ghubu kwa mumewe ni lazima mume atakosa kujiamini katika kufanya mambo yake mengi, ni lazima ataanza kuwa na uhusiano mbaya na watu wengine kutokana na hukohuko kutojiamini kwake ambako kumesababishwa na ghubu na kukosoa kwingi kwa mkewe.
Mwanaume ambaye ana mke mkosoaji na mwenye ghubu hutokea kutowapenda watu wengine na kukosoa wengine inatokea kuwa sehemu muhimu kwa maisha yake, anatokea kuwa na hasira za karibukaribu na ni vigumu sana kwa mtu wa aina hii kuelewana na watu.
Baadhi ya makampuni huko Marekani, kabla hayajampandisha mtumishi wake cheo, humchunguza mke wa mtumishi. Hawachunguzi kama ni mzuri wa sura au kama anajua mapenzi au kupika vizuri. Mara zote huchunguza kama mwanamke huwa anampa mumewe moyo, kama hamkosoi na kumlalamikia na kama hana ghubu. Wanapogundua kwamba mke wa mtumishi siyo mkosoaji wala mwenye kulalamika-lalamika humpa cheo mtumishi kwa imani kwamba atakuwa ni mtu mwenye kujiamini.
Lakini wanapogundua kwamba mke ni mwenye kukosoa, mwenye ghubu na mlalamikaji, kamwe hawampi mtumishi cheo, kwa sababu wanaamini kwamba, mtumishi huyo hawezi kuwa makini, atakuwa hajiamini.
Asnam mimi na mama Ngina siku moja moja huwa tunakumbushia hayo maloveee na tuna watoto watatu mpaka sasa tukielekea kutimiza miaka kumi ya kuishi pamoja.........hiyo picha imenivutia hivi hayo mambo bado yapo karne hii kwa wanandoa wenye watoto au hata ambao hawajazawadiwa watoto.