Mafanikio kimaisha

Siwezi kusema ni mbaya kwa vile wasipofanya huwa wana furaha na wameridhika kwa hiyo kwa definition niliyoitoa (mmmh!!??) wanajiona kuwa weshafanikiwa though sisi tuliomzunguka tunaewza kuona kuwa ni wasted talent

Unless mtu kitu akifanya anakuwa hakipendi ila anafanya kwa kumridhisha mtu (mfano mzuri ni watu kama Tiger Woods na Williams Sisters) wasingekuwa hapo walipo bila wazazi wao kuwa pushy hivyo basi kama hawapendi kufanya hicho wanachofanya na wangependa kuwa ma-humanitarian kama Mother Theresa au wahubiri dini..(basi on personally level watakuwa hawajafanikiwa kimaisha) lakini kama wanapenda wanachofanya basi its a win win situation na wamefanikiwa...

Sasa basi tukienda a one step further kama baada ya kushinda major moja Tigers angeanza kuvimba kichwa na kuacha mazoezi na kuwa mlevi hadi kiwango chake kushuka..., !!! , hapo definitely atakuwa hajafanikiwa (sababu kumbuka maisha sio destination ni journey) na in the long run atakuwa amewa-let down ndugu zake, yeye mwenyewe na fans wake, na hata yeye mwenyewe akisema ana furaha kwa hili atakuwa in-denial.

Lakini tuseme mfano William Sister mmoja baada ya kushinda mechi kadhaa akaamua kuacha kucheza sababu anapenda ku-settle down na kuanzisha familia na kupumzika hapo tunasema kwamba amefanikiwa kimaisha kuliko angeacha kile kitu anachopenda cha ku-settle na ku-raise a family (hapo atakuwa ana-miss kitu ambacho anakipenda)..., Its all about Pursuit of Happiness na Sacrifices unazofanya ili kupata furaha au kuwapa furaha wengine sio wasted.., lakini mistakes ambazo zitakutoa kwenye mstari hizo haziwezi zikakupa furaha..

Pia sometimes inabidi mtu ufanye sacrifices ili ufike hatua fulani, ama sivyo unaweza ukajuta when its too late (kwahiyo its all about balancing) vitu ambavyo they can wait they should wait ambavyo haviwezi visingoje...
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Mi inaonekana siridhiki, na sitakaa nifanikiwe kimaisha (sijui wenzangu), maana;

Mwaka 1995 (form 1); niliamini siku nikiweza kusoma hadi nikafika chuo kikuu cha SUA nitakuwa nimefanikiwa sana kimaisha...

Mwaka 1998 (form 4); wakati wa kombe la dunia, niliamini siku na mimi nikwa nakaa kwenye nyumba yangu (hata chumba cha kupanga), huku nikiwa na TV yangu naangalia kombe la dunia, nitakuwa nimefanikiwa sana kimaisha...

Mwaka 2000 (form 6, bado sijafika SUA, sina TV), nikaongeza 'hitaji', kuwa siku nipate kazi, niwe najitegemea nitakuwa nimefanikiwa sana kimaisha

Mwaka 2002 (first year SUA); niliamini siku nikifanikiwa kuajiriwa kama mwalimu wa chuo kikuu nitakuwa nimefanikiwa sana kimaisha

Mwaka 2006 (4th yr, SUA); niliamini siku nikiwa na ajira inayonilipa kama laki nne hivi nitakuwa nimefanikiwa sana kimaisha

Mwaka 2007 (graduating SUA), niliamini siku nikiwa na ajira, nikaoa mke ninayempenda, nikawa na gari aina ya chaser, nitakuwa nimefanikiwa sana kimaisha

Mwaka 2008 (nimeshaajiriwa, nimeshaoa), niliamini siku nikiwa na mtoto, nikiwa na Masters, nikiwa na ajira nzuri zaidi... nitakuwa nimefanikiwa sana kimaisha...

Mwaka 2010; ninaamini siku nikiwa na nyumba yangu mwenyewe (ghorofa), kipato cha kutosha niende ninapopenda wakati wowotena mke wangu, nitakuwa nimefanikiwa sana kimaisha...

2011; ???

2012; ???

n.k ...

Conclusion; Asilimia 99 ya vitu nilivyokuwa natamani hadi 2008 nimeshavipata, lakini kwa sasa najiona niko duni sana kimaisha, natamani, natamani natamani, na natamani niibadilishe Tanzania ifanane na Netherlands (can you imagine?!!)

Nikiwaza watu 'waliofanikiwa' kimaisha (kifedha), wanavyoendelea kufight kutafuta pesa, nikiangalia watu waliofanikiwa kijamii na kisiasa wanavyoendlea kutafuta kufanikiwa zaidi, inabidi niamini hakuna siku nitakokaa 'nifanikiwe kimaisha'

Decision; Nimeamua kuwa nitatumia 60% ya kipato changu 'kuifurahisha nafsi yangu na ya familia yangu na 40% kuwekeza kwa ajili ya baadae, maana nimeshaona kuwa hakuna siku nitakayorizika eti nimeshavuna sasa nianze kula...


ha haaaa hiyo ya kutazama kombe la dunia home ni kali aisee umenikumbusha enzi za tv kukaa chumbani kwa baba na mama
kuogopa majambazi
na enzi za kwenda kutazama kombe la dunia kwa bakhresa lol
tumetoka mbali....
 
There are millionaires who are desperately unhappy despite having possession they could ever wanted, sasa haya sidhani kama ni mafanikio ya kimaisha, there are two things HEALTH and PEACE OF MIND when you have these in life you feel good.

A "thing" only matters in as much as it moves you toward or away from health and peace of mind....so lack is therefore bad but excess can also be very bad, if you have to do unwanted things to get it
 
crossroads.jpg
...?

...nini tafsiri yako ya mafanikio (yako) kimaisha kiasi kwamba unaamini kwa kufikia hayo utakuwa umefanikiwa!




kama mafanikio ni 'furaha' basi hata Michael Jackson unaweza sema alifanikiwa
why ?kwa sababu yeye 'kuwa the best entertainer ever lived' ilikuwa big deal kwake na allipata
hiyo title.....wapo watu mafanikio yanakuwa defined na kazi zao.....na furaha inatoka huko...

sasa nije kwa mimi hapa......kwangu mimi mafanikio ni kuweza

kufikia 'matamanio yangu mbalimbali' ambayo naamini yako ndani ya uwezo wangu...
furaha yangu inaambatana na baadhi ya mambo ambayo naamini yako ndani ya uwezo wangu kuyafikia

nikishindwa kuyafikia sitajiona nimefanikiwa hata kama nina mke mzuri na watoto wazuri
kwani hiyo 'peace of mind' nitaikosa hasa nitakapowaona watu ambao wamefanikiwa 'kuyapata'
yale ambayo naamini naweza kuyapata nikijitahidi.....
 
Nt so fast moskwito,hivi mukulu aliposema Maisha bora kwa kila mdanganyika labda hatukumuelewa stds zake...
...nawashukuru sana nyote kwa michango yenu jumapili ya leo...
kiukweli nimefaidika na mawazo yenu nyote na ningependa kutoa hitimisho hili
kwa jinsi nilivyowasoma na kuwaelewa na mtizamo wangu ulivyokuwa...;

mafanikio nm matokeo mazuri ya jambo, ustawi, fanaka
maisha nm muda wa uhai wa kiumbe

....nimejiridhisha hakuna binadamu ambaye atakuwaa na mafanikio kwa
asilimia 100%...lazima patatokea mapungufu sehemu mojawapo ya maisha yake.

...ndio kusema, kila mmoja wetu anawajibika kufurahia sehemu yoyote ya mafanikio yake maishani,
hata iwe ni ndogo kama mdudu chungu, mfano yule anayebahatisha hewa, mlo na maji...au yule aliyejaaliwa mali,
watoto, na upendo wa hali ya juu lakini moyoni mwake ameshindwa kuuondoa, wivu, chuki, na katika na hayo.

mwenyezi mungu atuongoze katika njia iliyo sahihi, na atuzidishie nuru ya kutambua neema zake alizotujaalia.
- amen -

 
  • Thanks
Reactions: Mbu
king'asti umesema la maana sana...the higher we climb the harder we fall...!
unajua, nikiwa nje ya jiji hasa dar....huwa nawa admire furaha yao hawa wenzetu wanaoishi
maisha ya kijijini...

wakishajitosheleza kwa mazao na mifugo tu...wanaonekana 'hawana' presha nyingine za maisha.


tanz+village+to+dar.jpg
...correct me if am wrong, otherwise i bet am going nutter huh!


wanasema ignorance is a bliss
kwani too much information zinaleta anxiety sana...
 

usijali mwj1...nimeshamuelewa...anazungumzia self actualization kwenye maslow hierachy!

hierarchy.gif
...lol!

Hahahahaha we Mbu ni mkali!
Nmekaa hapa pembeni nafuatilia huu mjadala....
Hii point imenikuna. Hasa kwa yule anaefika kileleni
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Halafu kitu kingine ni kuwa there is a conflict between both our conscious and unconscious mind. Our conscious mind tells us that we can succeed but your unconscious mind has a list of all of the reasons why you can't succeed. Therefore, lazima tujifunze ku-train our thinking and our behavior so that we succeed. 10% of our thoughts are conscious and 90% of thoughts are unconscious, therefore, it is our unconscious thoughts back control how far we go in life and the ability we have to succeed in anything we choose to do.
 
...nawashukuru sana nyote kwa michango yenu jumapili ya leo...
Kiukweli nimefaidika na mawazo yenu nyote na ningependa kutoa hitimisho hili
kwa jinsi nilivyowasoma na kuwaelewa na mtizamo wangu ulivyokuwa...;

mafanikio nm matokeo mazuri ya jambo, ustawi, fanaka
maisha nm muda wa uhai wa kiumbe

....nimejiridhisha hakuna binadamu ambaye atakuwaa na mafanikio kwa
asilimia 100%...lazima patatokea mapungufu sehemu mojawapo ya maisha yake.

...ndio kusema, kila mmoja wetu anawajibika kufurahia sehemu yoyote ya mafanikio yake maishani,
hata iwe ni ndogo kama mdudu chungu, mfano yule anayebahatisha hewa, mlo na maji...au yule aliyejaaliwa mali,
watoto, na upendo wa hali ya juu lakini moyoni mwake ameshindwa kuuondoa, wivu, chuki, na katika na hayo.

mwenyezi mungu atuongoze katika njia iliyo sahihi, na atuzidishie nuru ya kutambua neema zake alizotujaalia.
- amen -


....amen
 
The benchmark for me is being able to afford at least the same standard of living that my parents afforded , kwa watoto wangu!. Kwa hivyo to personally consider myself sucessful in life Ill have to have surpassed their stds otherwise..................................................
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
nadhani definition ya "mafanikio kimaisha" inatofautiana mtu na mtu kwa sababu inakuwa influenced na vitu vingi sana ikiwemo malezi, mazingira mtu aliyokulia, utamaduni wa eneo husika, pamoja na elimu

Nadhani ndugu Tuko amefafanua vizuri sana hapo chini

Kwa kusummarize tu ni kwamba mtu haishi bila malengo, lengo moja "likifanikiwa" huzalisha lengo lingine,mambo yanakwenda hivyo-hivyo mpaka unatoweka duniani
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Mbu,

Nilikuwa nafikiria sana hii kitu hasa recently baada ya Gaddafi kuondolewa madarakani. Ukifuatilia threads za Gaddafi hapa utaona kuwa kuna watu wanammunga mkoni Gaddafi kwa vile aliwafanyia mengi Walibya. Gaddafi's proponents wanadai kuwa kawajengea Walibya mahosipitali, mashule, barabara, n.k. In short, wanasema Gaddafi kawafanikisha Walibya kimaisha. Swali ni ni vigezo gani utatumia kujua kama umefanikiwa kimaisha? Kuwa na nyumba nzuri? Elimu bora? Fedha nyingi benki? Kutambua na kuheshimu dignity ya watu wengine? Kusafiri sana? This is very subjective na utapata majibu tofauti.

Wapo ambao watatumia fedha kama kigezo cha kupima mafanikio yao. Wengine watatumia mali (tangible or intangible) walizonazo kama kigezo cha mafaniniko. Wengine legacy yao ni mafanikio tosha kwenye maisha. Ukweli ni kwamba watu wengi wana-equate mafanikio kimaisha na mali walizonazo (materialism). Lakini kuna watu wengi ambao wamefanikiwa kimaisha bila kuwa na mali nyingi. Wanaweza wasiwe matajiri kifedha lakini ni matajiri in life and values.

Katika tafisiri yangu ya mafanikio kimaisha naangalia zaidi sincerity kwenye matendo yangu, kuwa genuine kwenye mambo ninayofanya (actions speaks louder than words), wholehearted, honest, heartfelt, hearty, humility, personal integrity, kusimamia kile ninachokiamini na kutouza my morals, values na matendo yangu (japokuwa hii ni ngumu sana Tanzania - mfano unampeleka mgonjwa hosipitali unalizimika kutoa rushwa ili kuokoa maisha yake).

Pia naangalia uwezo wa kutenganisha emotions in my judgments (this is difficult but it worth a lot), kuwa focused on what I want in my life na kuwa na good manners hata kwa wale ambao hawana good manners na kuto-dominate mazungumzo (let the others speak whilst I listen to them).

Kuelewana na watu hasa wale ulio karibu nao ni mafanikio makubwa sana kimaisha. Kusaidia wengine (hasa wale wasiojiweza) bila kujali kama nao watakusaidia. You don't need to be rich to be charitable. Mafanikio mengine kimaisha ni kutambua na kuzingatia kuwa kila mtu ni tofauti na anaweza kuwa na values na beliefs tofauti ya ulizonazo.

Kuna hii ya ku-share feelings na watu wengine na kujua emotions situations that people go through. Kwa wanaume hii ni ngumu sana b'se unlike women, they are not that emotional. Kuna jamii nyingine mwanaume akiwa too emotional anaonekana kama ni mwanamke. Kuna vigezo vingine vya kufanikwia kimaisha kama vile kuwa compassionate, thinking of others without thinking of yourself na kuwa generous katika maisha (saidia watu bila kutegemewa kusaidia).
 

usijali mwj1...nimeshamuelewa...anazungumzia self actualization kwenye maslow hierachy!

hierarchy.gif
...lol!
hahahaaaaa.. mbu, i took some time kufikiria hii kitu

kwangu mafanikio yana sifa zifuatazo
  1. personal satisfaction socially, and financially
  2. perceived success (wanavyokuona wa nje)
  3. achievement kutokana na milestones nilizoweka
  4. sustainability ya mafanikio yangu... yaani kuwa na uhakika wa kesho bila moyo kwenda mbio
Maslow did a great model, ila hata hao walio kwenye self actualization sometimes wanakuwa wanahisi kwamba kuna kitu hawaja-achieve hapo ndio inakuja ile dhana ya mafanikio ni kuridhika (hata ukienda remote areas utakuta mtu anambuzi wate wanne, watoto saba, wake wawili anaona amefika

In short mafanikio yako subjective surrounded by perception and power!!
 
Mafanikio=success
mahitaji=needs.
Is someone trying to define mafanikio kama "kutimiza mahitaji"? coz this is the oly reason the malsow pyramid would be used.Needs can be considered as a valley, mafanikio as a hill. some make a hill with the waste from the hole, some keep the two separate, a little hill here, a little hole there. kuna mtu ana mahitaji kibao ila ana mafanikio pia, kuna mtu mafanikio yake humuongezea mahitaji, na kuna mtu ambae anafanikiwa kwa kutimiza mahitaji, moja baada ya nyingine, etc. this comparison is not relevant I think... or sijaelewa point yake
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Wapo ambao watatumia fedha kama kigezo cha kupima mafanikio yao. Wengine watatumia mali (tangible or intangible) walizonazo kama kigezo cha mafaniniko. Wengine legacy yao ni mafanikio tosha kwenye maisha. Ukweli ni kwamba watu wengi wana-equate mafanikio kimaisha na mali walizonazo (materialism). Lakini kuna watu wengi ambao wamefanikiwa kimaisha bila kuwa na mali nyingi. Wanaweza wasiwe matajiri kifedha lakini ni matajiri in life and values.

Katika tafisiri yangu ya mafanikio kimaisha naangalia zaidi sincerity kwenye matendo yangu, kuwa genuine kwenye mambo ninayofanya (actions speaks louder than words), wholehearted, honest, heartfelt, hearty, humility, personal integrity, kusimamia kile ninachokiamini na kutouza my morals, values na matendo yangu (japokuwa hii ni ngumu sana Tanzania - mfano unampeleka mgonjwa hosipitali unalizimika kutoa rushwa ili kuokoa maisha yake).

Pia naangalia uwezo wa kutenganisha emotions in my judgments (this is difficult but it worth a lot), kuwa focused on what I want in my life na kuwa na good manners hata kwa wale ambao hawana good manners na kuto-dominate mazungumzo (let the others speak whilst I listen to them).

Kuelewana na watu hasa wale ulio karibu nao ni mafanikio makubwa sana kimaisha. Kusaidia wengine (hasa wale wasiojiweza) bila kujali kama nao watakusaidia. You don't need to be rich to be charitable. Mafanikio mengine kimaisha ni kutambua na kuzingatia kuwa kila mtu ni tofauti na anaweza kuwa na values na beliefs tofauti ya ulizonazo.

Well said! EMT Salute..

Sometime, Fame, Mali na other Material achievements ni vyanzo vya Fear, Unhapiness, Loneliness na msongo wa mawazo..i.e. the sign of going back to square one!
 
Mafanikio=success
mahitaji=needs.
Is someone trying to define mafanikio kama "kutimiza mahitaji"? coz this is the oly reason the malsow pyramid would be used.Needs can be considered as a valley, mafanikio as a hill. some make a hill with the waste from the hole, some keep the two separate, a little hill here, a little hole there. kuna mtu ana mahitaji kibao ila ana mafanikio pia, kuna mtu mafanikio yake humuongezea mahitaji, na kuna mtu ambae anafanikiwa kwa kutimiza mahitaji, moja baada ya nyingine, etc. this comparison is not relevant I think... or sijaelewa point yake

hapana, kuna mheshimiwa aliandika, yeye akifika kileleni tu ndio mafanikio yake.
Ukitafsiri kiswahili kwa lugha ya kigeni matokeo yake ndio kama hayo....

 
Nimependa mada na michango yote kutoka kwa wadau.

Pamoja na kukubaliana na wachangiaji kwenye vipengere vya amani na upendo, napenda kusisitiza kuwa "KIWEZESHO" KWA MAANA YA PESA kikikosekana mengine ni ngonjera tu.Asikwambie mtu..a hungry man is an angry man!
Binafsi nadhani mafanikio yasiyokuwa na nyenzo siyo mafanikio. Ninaweza kusema kwa kujiamini kwamba, kuweza kufikia financial freedom kwangu mimi itakuwa indicator moja kubwa sana ya mafanikio.

ANGALIZO: PESA HAIWEZI KUNUNUA AMANI WALA UPENDO/MAPENZI YAKUDUMU.Kwa msingi huo it will always be a balancing act. Kuna wanaosema " better to cry in a ferrari than.....to laugh in a .........." sijui lakini.
 
Back
Top Bottom