ITEGAMATWI
JF-Expert Member
- Jan 26, 2012
- 5,308
- 4,029
Duh hii kali sasa, ipo sehemu gani
Mkuu mbona huu ni mto maarufu na mkubwa sana tu,upo mkoa wa Lindi!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh hii kali sasa, ipo sehemu gani
Mtombe mkulu
is it kunduchi?
1..matombo
2..nanjilinji
3..kiboro loni
4..mchamba wima...
5:mtaa wa machangu USHUNGI WA ZANZIBAR karibu na soko uko mjinga
Swissme
Siku moja nilienda mkoani Mara nilikutana na vijiji vyenye majina yafuatayo:
Maji-Moto
Iseresere
Kobe-sisi
Kenya-Monta
Ikorongo
Maeneo hayo ni, shule ya msingi senge - mkoani singida, shule ya sekondari senge - mkoani singida, shule ya msingi mwisenge - mkoani mara, shule ya msingi kitobo - mkoani kagera, mchamba wima na kibanda maiti - zanzibar, Senge rema mkoani mwanza, katerero - mkoani kagera,
Majina ya Watu sasa! Uswazi utasikia Chausiku, Makusudi, Mawazo, Matatizo.................... Mbeya sasa Chamuchubwi, Tulinampoki, Tutufye, Mwapanya.......Wangoni sasa, Mapunda, Nyoka, Komba, kakobe, kimbuzi, king'ombe............Wachaga sasa Clinton, Bush Ebu nawe endelea