Jethro
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 2,219
- 370
Wana JF,
Huku Arusha ukiwa wapita Ngulelo karibu na Cet Garden Bar, Hali ya hewa imechafuka kabisa.
Hii ni kutokana na kuachiwa huru kwa Mtuhumiwa kwa kesi ya Mauaji. Mtuhumiwa ni Remini Ni Fundi magari na ana Garage yake kule sakina. Inasemekana alimpiga shaba mtu na huyo marehemu hajazikwa bado
Sasa ndugu wa Marehemu wamecharuka wamekuja juu na watu wengine wanaelekea kwake huko kwa mrefu.
Inavyosemekana mpaka sasa Hape maeneo ya Cet Garden ni kumejaaa utitili wa watu.
My Take;
Makosa kama haya police wanajitakia wenyewe, Hata kama mtuhumiwa ni innocent huwezi mwachia nje ingali wajua kabisa ana kesi ya Mauji. Yet anatakiwa awe under Protective Custody.
Hivi police wetu huwa wanafikilia kwanza au ni pesa na njaaaaa zinawasumbua
Huku Arusha ukiwa wapita Ngulelo karibu na Cet Garden Bar, Hali ya hewa imechafuka kabisa.
Hii ni kutokana na kuachiwa huru kwa Mtuhumiwa kwa kesi ya Mauaji. Mtuhumiwa ni Remini Ni Fundi magari na ana Garage yake kule sakina. Inasemekana alimpiga shaba mtu na huyo marehemu hajazikwa bado
Sasa ndugu wa Marehemu wamecharuka wamekuja juu na watu wengine wanaelekea kwake huko kwa mrefu.
Inavyosemekana mpaka sasa Hape maeneo ya Cet Garden ni kumejaaa utitili wa watu.
My Take;
Makosa kama haya police wanajitakia wenyewe, Hata kama mtuhumiwa ni innocent huwezi mwachia nje ingali wajua kabisa ana kesi ya Mauji. Yet anatakiwa awe under Protective Custody.
Hivi police wetu huwa wanafikilia kwanza au ni pesa na njaaaaa zinawasumbua