Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,101
- 1,946
Uuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuwi hata waizi mnawatakia afya njema...acheni unafiki
Wanajikomba kwa mategemeo yao mamvi atakuwa rahisi ili nao wapate japo makombo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuwi hata waizi mnawatakia afya njema...acheni unafiki
Utaanza kufa wewe ambaye unategemea kutibiwa Muhimbili.Nauliza tena, hajafa bado?
Mungu atamjalia apone haraka arudi Arumeru kufuatilia kampeni za Mkwe wake.
Wakuu, asanteni kumuombea Mh. Edward Lowassa. Ni kweli amelazwa hapa Ujerumani na hali yake inaendelea kuwa nzuri. Mh. alipatwa na shinikizo dogo (Ischemic Stroke) linalotokana na kazi nyingi mfululizo bila kupumzika, ila madaktari wamempa clean bill of health na kwa sasa anapumzika kitandani. Baada ya siku chache Mh. atarudi kuendelea na shuguli za ujenzi wa taifa. Muombeeni mpiganaji wetu. Asanteni
Wapo wanaosambaza ujumbe kupitia SMS kwamba Mh. Amefariki, hapana. Huo ni uzushi wa kupuuzwa. Mh. Ni mzima. Wapiganaji Mh. Benno Malisa, January Makamba, Mama Shelukindo na Zitto Kabwe, endelezeni vita vya kulikomboa taifa. Mh. anawaaminia
Mkuu umenikumbusha mbali sana!!..............funkuro !
Utaanza kufa wewe ambaye unategemea kutibiwa Muhimbili.
Chuki za kijinga kama hizi ndio zimesababisha Lowasa sasa apate uungwaji mkono hata kutoka kwa watu waliokuwa wanampinga. why Lowasa na sio Jakaya Kikwete? haters!!Yuko Ujeruman Hospital gani?, wengine tuko Ujeruman hapa, weka Strasse Adresse hapa tukamuone. Isije ikawa ni mbinu ya kutaka kutuonyesha kuwa naye anaumwa ili kuvuruga concetration yetu kwa alichomfanyia Dr Mwakyembe. Acha kucheza na akili ya watu ninyi huyo mtu haumwi wala nini. Weka picha kama umeshindwa address basi. Chezea matahila sisi tunawajua sana. Arudi haraka Tanzania watu kanisa wanasubuli fedha zake wagawane. Tunajua reaction ya report ya Manumba last week, imemchanganya sasa mnatafuta sympahty mpya kuingilia kwenye makanisani
Get well soon Mr EL!!
Augue pole maana kama wanaadam tunaiombea kila nafsi afya na uhai. Ila sijui sentensi ya mwisho inamaanisha nini na kama wote ni watumwa kpro lowasa includingi Zitto.. Sitaki amini ila dhamira yoyote ya mabadiliko na maendeleo inakubalika.Wakuu, asanteni kumuombea Mh. Edward Lowassa. Ni kweli amelazwa hapa Ujerumani na hali yake inaendelea kuwa nzuri. Mh. alipatwa na shinikizo dogo (Ischemic Stroke) linalotokana na kazi nyingi mfululizo bila kupumzika, ila madaktari wamempa clean bill of health na kwa sasa anapumzika kitandani. Baada ya siku chache Mh. atarudi kuendelea na shuguli za ujenzi wa taifa. Muombeeni mpiganaji wetu. Asanteni
Wapo wanaosambaza ujumbe kupitia SMS kwamba Mh. Amefariki, hapana. Huo ni uzushi wa kupuuzwa. Mh. Ni mzima. Wapiganaji Mh. Benno Malisa, January Makamba, Mama Shelukindo na Zitto Kabwe, endelezeni vita vya kulikomboa taifa. Mh. anawaaminia
Chuki za kijinga kama hizi ndio zimesababisha Lowasa sasa apate uungwaji mkono hata kutoka kwa watu waliokuwa wanampinga. why Lowasa na sio Jakaya Kikwete? haters!!