Maelezo yaliyothibitishwa jinsi ya kutumia internet bure.. Kama mimi muongo nipeni adhabu yoyote

Jamani tusikatishane tamaa bure!! Kwani hii ni thread ya kwanzanya aina hii?? Mbona thread za namna hii nyingi sana zimepita humu bila ya kuwatukana waanzishaji?? Kwa mfano tulifundishwa humu jinsi ya ku-hack huawei modems. Jozzb kakosa nini mpaka atukanwe??? Acheni hizo jamani!! Kama hutaki potezea tu waache wanaotaka. Pole Jozzb, usikate tamaa, tuletee vitu vingine utakavyoona vitatufaa.
Mkuu tena cha ajabu kuna wengine walioponda wao wenyewe wamewahi kuanzisha sredi za kuchakachua vitu humu humu jukwaanina wakapata sapoti nzuri tu.
Kama una idea kidogo tu ya teknolojia utagundua kwamba software hiyo inaweza kukufanya badala ya kutumia mb za ofa usiku sasa unaweza kuchakachua na kutumia na mchana hadi zitakapokwisha, na wala sio za bure, so hakuna wizi wowote hapa
 
mi wananikera sana watu wanaotoka kwenye majukwaa ya siasa wakija huku wanaleta longolongo mara huo ni wizi hivi nyie wizi mnaujua kweli?Mbona hayo makampuni ya simu na mahoteli wanavyobadili majina hamuoni kama ni wizi mkubwa sana wanaotufanyia mbn hamsemi hayo?
 
Mimi huo ujanja nliushtukia nyuma kidogo...ila mimi nlikua natumia kwnye cm kwa kutumia Whatsapp Messenger...sababu Whatsapp haijidisconnet kutoka kwenye Internet so nlikua naconnect ucku..mpka mchana napiga mzigo kama kawa....
 
kuna jambo moja la kuzingatia. kama wewe hujui au hujawahi ona kitu flani ukiambia usibishe kwamba hakipo kwani kuna vitu vingi usivyojua na hata kuimagine kama vipo. suala la kuchakachua internet ni jambo la kawaida kwa wanaojua sasa nashangaa wewe kusema hakuna cha holes wala nini. kama watu wanaweza huck system ya mawasiliano ya FBI sembuse hizi mitandao zetu za kibongo. kutofika kwako marekani siku ukiambiwa kuna sky scrapers usibishe kisa wewe tu hujawahi kuona. ni mtizamo tu mkuu usijenge chuki
 
:A S-confused1:Kua na msimamo post zinasaidia wengi,Hao wanaotupia thread wengine ni wanasiasa,cul kijana
 
Wakuu kwani PD proxy ina mushkeli ama?... Mbona watu wanahangaika na kuna PD Proxy????

Na je kuna uwezekano wa hawajamaa kunigundua natumia PD proxy na mayb kunikamata na kuniletea msala

Kwa sababu kila siku nashusha 20 GB mpaka naona aibu...
 
Back
Top Bottom