Sungurampole
JF-Expert Member
- Nov 17, 2007
- 984
- 205
Binafsi sikumuelewa waziri wa sheria na katiba leo asubuhi(tbc 1) alipokuwa kijibu swali "kwa nini muswada untoa maeneo amabyo wananchi hawatakiwi kujadili?''
katika majibu yake alisema kinachokatazwa ni 'kufisha' mfano hairuhusiwi wananchi kusema 'hatuutaki muungano' ila kujadili mnaweza kujadili kwa maana ya kuboresha.
Hapa anasema nini? Nini maana ya mjadala?
Aliyemueleawa anisaidie mantiki ya hoja yake
katika majibu yake alisema kinachokatazwa ni 'kufisha' mfano hairuhusiwi wananchi kusema 'hatuutaki muungano' ila kujadili mnaweza kujadili kwa maana ya kuboresha.
Hapa anasema nini? Nini maana ya mjadala?
Aliyemueleawa anisaidie mantiki ya hoja yake