Maelezo ya mkutano wa Al-Adawi na Ridhwan Kikwete

Utangulizi:
Jana nimeweka thread ya mkutano wa wabunge kadhaa wa Kamati ya Nishati na Madini kisha ikang'olewa kwa kile kilichoelezwa kutojitosheleza. Lakini kile nilichokiandika kikaandikwa na gazeti la Nipashe Feb 24, 2011 katika muundo mwingine: Angalizo langu kwa MoD: Uwe na moyo wa subira hata kwa yale usiyoyapenda:

HABARI MPYA
Jumapili ya Februari 20, 2011, saa kadhaa baada ya taikuni wa Dowans kukutana na wahariri na kisha kugoma kupigwa picha, taikuni huyo alikuwa na kikao na Rizwan Kikwete. Taarifa zilizotiririka kwa mtindo wa Diplomatic kebo zinaeleza bila shaka kuwa Rz1 alimfata taikuni huyo katika hoteli ya Kempinski majira ya saa tatu usiku na kisha kuongozana naye hadi katika nyumba anayoishi ile inayoaminika kujengwa na mafisadi wa EPA iliyopo Mikocheni jirani na Rose Garden. Kikao hicho kilifanyika hadi saa tano usiku ambapo vijana wetu ambao walikuwa wakivizia nyendo za Al-Adawi walimuona akitoka na RZ1 saa 5:15 na kurejea hotelini kwake.

Katika kikao hicho Rz1 alimhakikishia Al-Adawi kuwa Dowans italipwa na pia itapewa kazi zaidi, huku pia akimuomba ushirikiano katika biashara za sekta ya nishati katika siku zijazo.

Hii itakuwa ni mara ya pili kwa Rz1 kujiingiza katika mkakati wa kuwekeza katika sekta hiyo ikiwa ni baada ya hatua yake ya kwanza kushindwa mwaka 2006 wakati alipoenda kusaka kampuni la kufua umeme toka Ujerumani lakini wataalam wa TANESCO wakalitilia mashaka kwa kuwa lilikuwa halina uwezo wa kuleta mashine zake na walizokuwa nazo zilikuwa za kizamani zaidi.

Ukiunganisha RED na BLUE ni dhahiri kuwa shuhuda hakuwa ndani ya kikao kama kweli kilikuwepo. Sasa hapo kwenye blue, nani alishuhudia kilichozungumzwa ndani ya kikao wakati shuhuda alikuwa nje ya geti?
 
Utangulizi:
Jana nimeweka thread ya mkutano wa wabunge kadhaa wa Kamati ya Nishati na Madini kisha ikang'olewa kwa kile kilichoelezwa kutojitosheleza. Lakini kile nilichokiandika kikaandikwa na gazeti la Nipashe Feb 24, 2011 katika muundo mwingine: Angalizo langu kwa MoD: Uwe na moyo wa subira hata kwa yale usiyoyapenda:

HABARI MPYA
Jumapili ya Februari 20, 2011, saa kadhaa baada ya taikuni wa Dowans kukutana na wahariri na kisha kugoma kupigwa picha, taikuni huyo alikuwa na kikao na Rizwan Kikwete. Taarifa zilizotiririka kwa mtindo wa Diplomatic kebo zinaeleza bila shaka kuwa Rz1 alimfata taikuni huyo katika hoteli ya Kempinski majira ya saa tatu usiku na kisha kuongozana naye hadi katika nyumba anayoishi ile inayoaminika kujengwa na mafisadi wa EPA iliyopo Mikocheni jirani na Rose Garden. Kikao hicho kilifanyika hadi saa tano usiku ambapo vijana wetu ambao walikuwa wakivizia nyendo za Al-Adawi walimuona akitoka na RZ1 saa 5:15 na kurejea hotelini kwake.

Katika kikao hicho Rz1 alimhakikishia Al-Adawi kuwa Dowans italipwa na pia itapewa kazi zaidi, huku pia akimuomba ushirikiano katika biashara za sekta ya nishati katika siku zijazo.

Hii itakuwa ni mara ya pili kwa Rz1 kujiingiza katika mkakati wa kuwekeza katika sekta hiyo ikiwa ni baada ya hatua yake ya kwanza kushindwa mwaka 2006 wakati alipoenda kusaka kampuni la kufua umeme toka Ujerumani lakini wataalam wa TANESCO wakalitilia mashaka kwa kuwa lilikuwa halina uwezo wa kuleta mashine zake na walizokuwa nazo zilikuwa za kizamani zaidi.
...this is stupid! maelezo yaliyotolewa ni upuuzi tu, ni kutaka kutwist watu wahame kwenye ajenda za maana na kujadili upumbavvu huu!!!
Bado siamin ka nchi yetu imefikia mahali watu au mtu ankuwa hired kuconfuse watu,tena wengine wako kwny vyombo vya usalama kama tiss..km ni kweli hali iko hivi nchi hii iko pabaya! halafu watu wamecomment kwny habari ya kijinga km hii.
 
yule dogo ni mjinga sana........mwaka huu yeye na baba yake tutawatoa hapo ikulu....

na ni huyu alienda kumleta huyu taiikun
 
...this is stupid! maelezo yaliyotolewa ni upuuzi tu, ni kutaka kutwist watu wahame kwenye ajenda za maana na kujadili upumbavvu huu!!!
Bado siamin ka nchi yetu imefikia mahali watu au mtu ankuwa hired kuconfuse watu,tena wengine wako kwny vyombo vya usalama kama tiss..km ni kweli hali iko hivi nchi hii iko pabaya! halafu watu wamecomment kwny habari ya kijinga km hii.


wee ni mjinga sana na hujui unachokisema.......nenda ukalale...
 
Inawezekana baba yake alipoondoka alimwachia maagizo ya kumfikishia si unajua jk hawaamini wanaccm tokea wakati wa kuasaka awamu ya pili ya uongozi mtakumbuka riz1 ndiye alikuwa mtu wake wa karibu hivyo hata maagizo nyeti lazima amwachie yule anayemwani na waliyeshirikiana kusaka kurejea ikulu
 
Let's assume hayo aliyoandika Tanleaks ni kweli, ingawa yana walakin, kwani ni dhambi au sheria hazimruhusu Rz1 kukutana na Adawi na wakazungumza ya ama biashara ya ama kusoshalaiz?

Hivi huyu Adawi na hii Kampuni ya Dowans imekosa nini? Kuna mtu anaweza kusema kosa lao ni nini?

Au hizo ni chuki na roho mbaya tu? Rizwan akikutana na tajiri yeyote duniani, hakuna kosa analolifanya. Yeye ana life yake, ana biashara zake na Mungu kamjaalia ana jina na nasaba nzuri tu, ya kuwa mtoto wa Rais.

Hivi. Nyinyi hamna watoto zenu wanaojidai kwa kuwa na baba au mama kama nyinyi? Kama ni wahandisi, madaktari, waandishi, vinyozi, madereva, hamuoni sifa watoto zenu wakisema "mimi babangu kinyozi". Sasa kwa nini Rz1 asitumie hayo na kusema "mimi babangu Rais wa JMT"? Kuna kosa hapo?

Wacheni roho za korosho.

YOU MUST BE MAD|!!!!!!!! totaly crazy!
 
Kama habari zilizo semwa ni za kweli basi, lazima kutakuwa na connection yoyote kati ya huyu alhadaw na Baba yake Rz1,

haiwezekani tu mtu from no where akapewa mwaliko usio wa ki official akaenda kukutana na sisi tunaye muita mtuhumiwa, hivi hamuoni kama ISINGEWEZEKANA KWA RAIS MWENYEWE KUKUTANA NAYE? hapo mi nahisi ndo mana akamtuma mwanawe, huyu ni mshirika wa Kikwete na si vinginevyo.

LAKINI MINASEMAJE, AWE MSHIRIKA ASIWE MSHIRIKA....!! KWANZA HILO DENI HATULIPI... WALAU NA CC WATZ TUJIKAKAMUE KIDOGO KUTAIFISHA MALI CHACHE KTK UONGOZI HUU DHALIMU HIVYI HIVYO, hila sema tukifanikiwa tu kutaifisha hawa jamaa pamoja na mwenyeji wao anaweza akalipwa kivingine. Mgh tuombe mungu
 
Sikujua kama TANleaks unaweza kuwa muongo kiasi hiki. Hivi hapa unataka kumdanganya nani? Maelezo yako yana walakini mkubwa saaana. Sio vizuri kumzushia mtu jambo la uongo kama unavyofanya kwa Ridhwani. Kama umetumwa basi ni vizuri mukatafute zengwe linaloeleweka, hili hapa bado hujampata mtu. Waliochangia ujinga huu nao hawakuwa na uelewa wa kuhoji au walipangwa kuchangia. Mujihadhari na tabia hizi kwani munajidhalilisha na kuuza utu wenu.
 
Sikujua kama TANleaks unaweza kuwa muongo kiasi hiki. Hivi hapa unataka kumdanganya nani? Maelezo yako yana walakini mkubwa saaana. Sio vizuri kumzushia mtu jambo la uongo kama unavyofanya kwa Ridhwani. Kama umetumwa basi ni vizuri mukatafute zengwe linaloeleweka, hili hapa bado hujampata mtu. Waliochangia ujinga huu nao hawakuwa na uelewa wa kuhoji au walipangwa kuchangia. Mujihadhari na tabia hizi kwani munajidhalilisha na kuuza utu wenu.

bila shaka wewe ni wa upannde mwingine wa muungano ... wala sishangai wewe kuwatetea wachina wa kibongo .....
 
Codecola, usiwe na tabu TANleaks ni asasi kubwa inayoweza kupata taarifa hadi zile unazotoa kwa kunong'oneza. Najua R1 ama wapambe wake wamo humu wanashambulia thread hii, kama ana ubavu atokeze ajibu ili niibue mengine ambayo nimeyaweka pending kwa sasa.

HAYA TUNACHUBIRI KWA HAMU HAYO MAPYA.

PHP:
HABARI MPYA
Jumapili ya Februari 20, 2011, saa kadhaa baada ya taikuni wa Dowans kukutana na wahariri na kisha kugoma kupigwa picha, taikuni huyo alikuwa na kikao na Rizwan Kikwete. Taarifa zilizotiririka kwa mtindo wa Diplomatic kebo zinaeleza bila shaka kuwa Rz1 alimfata taikuni huyo katika hoteli ya Kempinski majira ya saa tatu usiku na kisha kuongozana naye hadi katika nyumba anayoishi ile inayoaminika kujengwa na mafisadi wa EPA iliyopo Mikocheni jirani na Rose Garden. Kikao hicho kilifanyika hadi saa tano usiku ambapo vijana wetu ambao walikuwa wakivizia nyendo za Al-Adawi walimuona akitoka na RZ1 saa 5:15 na kurejea hotelini kwake.
 
Katika kikao hicho Rz1 alimhakikishia Al-Adawi kuwa Dowans italipwa na pia itapewa kazi zaidi, huku pia akimuomba ushirikiano katika biashara za sekta ya nishati katika siku zijazo.
 
Hii itakuwa ni mara ya pili kwa Rz1 kujiingiza katika mkakati wa kuwekeza katika sekta hiyo ikiwa ni baada ya hatua yake ya kwanza kushindwa mwaka 2006 wakati alipoenda kusaka kampuni la kufua umeme toka Ujerumani lakini wataalam wa TANESCO wakalitilia mashaka kwa kuwa lilikuwa halina uwezo wa kuleta mashine zake na walizokuwa nazo zilikuwa za kizamani zaidi.

Jinsi JK anavyowakumbatia Mafisadi huwezi ku-rule out lolote linalosemwa. hii ilikuwa ni kazi ya vyombo vya dola ambapo hata inapobidi rais anaweza kuondolewa madarakani. Haiwezekani nchi iwekwe rehani kwa sababu ati RA au EL pamoja na Chenge hawapati manufaa au hawapati mpunga wa walipa kodi kama wanavyotaka. Tukumbuke marais kama G. Ford walivyoondoshwa madarakani kwenye scandal ya water gate chacha chichi tunayo Dowans & Richmond gate. tena hawa wakulu wanabeza hata amri za Bunge!

Dr. Slaa anapaosema JK ndiye mmiliki wa DOWANS tujue ni kweli

Absolutely he owns it.

Huu ni upuuzi mtupu. Ridhiwani alikuwa Arusha na alirejea Dar es Salaam siku ya jumatatu tarehe 21 Februari saa 5 asubuhi. Aliondoka hapa usiku wa siku ya alhamisi tarehe 17 Februari, 2011. Mimi nashauri kwamba kama kweli thread hizi hazichochewi na chuki basi zifanyiwe utafiti kabla hazijapostiwa humu. Kwa mfano, aonane na huyo mmanga ili wafanye nini wakati suala hili anayelishughulikia na mmiliki anafahamika? Dunia nzima inajua kwamba dowans ni ya RA sasa unahitaji kukutana na huyu aliyevikwa uhusika ili kitokee kitu gani? Tuache kuzua na hicho kinachoitwa taarifa za kiintelijensia kama zile zilizozua maafa kule Arusha. Mara nyingi huwa ni kivuli cha kuficha uongo na uzushi ili ionekane kuwa kuna uhalisi wa tukio linalotengenezwa.

Kwa hiyo wewe ni msemaji (Riziwani) wake?

Ukiunganisha RED na BLUE ni dhahiri kuwa shuhuda hakuwa ndani ya kikao kama kweli kilikuwepo. Sasa hapo kwenye blue, nani alishuhudia kilichozungumzwa ndani ya kikao wakati shuhuda alikuwa nje ya geti?

Keshasema yeye ni Tanleaks ... ... .... ...he is not alone ana team ..... ... ya mashushu wengine wako ndani kazi kweli kweli.

...this is stupid! maelezo yaliyotolewa ni upuuzi tu, ni kutaka kutwist watu wahame kwenye ajenda za maana na kujadili upumbavvu huu!!!
Bado siamin ka nchi yetu imefikia mahali watu au mtu ankuwa hired kuconfuse watu,tena wengine wako kwny vyombo vya usalama kama tiss..km ni kweli hali iko hivi nchi hii iko pabaya! halafu watu wamecomment kwny habari ya kijinga km hii.

Mbona matusi mengi kaka jenga hoja tutakusoma tu .... ..... .... matusi mengi ina maana umeshikwa pabaya na kushindwa hoja au vipi?

Sikujua kama TANleaks unaweza kuwa muongo kiasi hiki. Hivi hapa unataka kumdanganya nani? Maelezo yako yana walakini mkubwa saaana. Sio vizuri kumzushia mtu jambo la uongo kama unavyofanya kwa Ridhwani. Kama umetumwa basi ni vizuri mukatafute zengwe linaloeleweka, hili hapa bado hujampata mtu. Waliochangia ujinga huu nao hawakuwa na uelewa wa kuhoji au walipangwa kuchangia. Mujihadhari na tabia hizi kwani munajidhalilisha na kuuza utu wenu.


Sifikiri kama amedanganya sema ameweka chumvi nyingi lakini mengi ni ya ukweli hata alipopewa ile escort ya nguvu wakati akienda Dubai wengi tulishuhudia.
 
Let's assume hayo aliyoandika Tanleaks ni kweli, ingawa yana walakin, kwani ni dhambi au sheria hazimruhusu Rz1 kukutana na Adawi na wakazungumza ya ama biashara ya ama kusoshalaiz?

Hivi huyu Adawi na hii Kampuni ya Dowans imekosa nini? Kuna mtu anaweza kusema kosa lao ni nini?

Au hizo ni chuki na roho mbaya tu? Rizwan akikutana na tajiri yeyote duniani, hakuna kosa analolifanya. Yeye ana life yake, ana biashara zake na Mungu kamjaalia ana jina na nasaba nzuri tu, ya kuwa mtoto wa Rais.

Hivi. Nyinyi hamna watoto zenu wanaojidai kwa kuwa na baba au mama kama nyinyi? Kama ni wahandisi, madaktari, waandishi, vinyozi, madereva, hamuoni sifa watoto zenu wakisema "mimi babangu kinyozi". Sasa kwa nini Rz1 asitumie hayo na kusema "mimi babangu Rais wa JMT"? Kuna kosa hapo?

Wacheni roho za korosho.
Hatutabishana sana ila wapaswa kukumbuka kwamba ushirika na mwizi? = jibu unalo!
 
Mbopo, nimekusoma kwenye thread ya Membe na Website ya MOFA, huko ulijifanya kama Mwambene Assah ambaye tunakamilisha kazi zake zitakazomwagika siku si nyingi. Lakini nashangaa wapambe wa R1 ambao wanaingia hapa kama akina Uncle Toms na kisha kumtetea bila hata yeye kuwapa taarifa. Ni kweli alikuwa Arusha lakini alirejea mapema mara tu baada ya semina ya mawakili kuisha na kisha kufanya kikao na Al Adawi. Sasa kama mnampenda sana huyo R1 wenu mwambie aingie hapa akanushe kisha niweke na ushahidi mwingine ambao ninamsubiri tu aanze kisha nikamilishe kazi. Kwa sasa nawaacha kwa tafakari, Nchi hii ikiachwa iingizwe vidole na vijifisadi watoto, basi tunakaribisha kizazi caha vifisadi wajukuu na vita ya kuvitokomeza itakuwa ngumu sana kama hatutachukua nafasi yetu sasa.
 
Kuna watu walikuwa wanavizia nyendo za watu hao lakini walivyopata kilichokuwa kinaongelewa ndani inakuwa kama tetesi tena, waliwezaje kupata kilichozungumzwa?
 
Jamani nataka kufahamu utatu uliopo kati ya viongozi waliyopo madarakani,uzao wao wa kwanza esp wa kiume na maamuzi makubwa ya nchi ikiwa ni pamoja na kutengenezewa njia ya utawala baada ya wazazi wao kujitosheleza...turejee ya Tunisia,Misri,Libya na hizi harakati za usemaji wa mambo ya nchi za kina Ridhwan,ambitions za Kina Husein Mwinyi na familia ya Karume kuingia ikulu kwa influence za wazazi wao! Naomba mwongozo!


Mtoto wa nyoka unataka awe mjusi? mtoto wa kinyozi ana uwezekana kuwa kinyozi na pengine hufuatana na baba kujifunza namna ya kunyoa.......... acha bana hizo, mtoto wa dokta anaweza kuwa dokta vilevile nenda kajinyonge hadi kufa kama hutaki kuelewa mambo ya dunia..... kajitupe baharini uwe chakula cha samaki.... hasira za mkisi......
 
Kama ni kujazana machicha kweli humu JF tunajazana machicha tena siyo ya nazi maana yanaweza tumikana kwa kashata na buskuti ni ya kimea. umesema rizone aliongea na huyo bwana nyumbani kwake hujasema kwa siri au kwa uwazi kama kwa uwazi mkasikia basi mjue haikua siri kama ni kwa faragha kanini nyumbani kwake? swala la kwamba dowans italipwa naona unapandikiza chuki tu dhidi ya huyo kijana. Kuna mtu kauliza kama ni dhambi mtoto wa rais kumsahuri baba yake hata akimuona anaingia chaka ni dhambi? Sasa tujiulize je kuudanganya umma kwaajili ya chuki binafsi ni dhambi? je naitenda dhambi hiyo na adhabu yangu ni ipi?

Kuhusu habari yako kutoka gazetini haimaanishi kuwa ndiyo kigezo cha kuifanya iwe ni ya kweli. Siyo kila kinachoandikwa gazetini ni cha kweli kama huamini hilo fanya utafiti usiyo na chuki kwa magazeti ya kulikoni, nipashe, tanzania daima na mwananchi uone kesi zilizomahakamani na pia uchunguze vizuri ujue ni habari ngapi za uongo zinazoandikwa ilimradi tu gazeti liuzike. Pia ujue Tanzania ni mojawapo ya nchi zenye waandishi wa habari wavivu mno kutafuta habari hivyo hufanya coping and pasting na hivyo akiona kinachomvutia machoni humu JF atakigeuza na kukiandika gazetini kwa style ambayo hutadai copyright.
 
Ridhwan alikuwa na nafasi ya kumalizana naye hotelini sasa kumpeleka hadi nyumbani kwake kutoka mjini kati hadi mikocheni mmmmh? yahitaji kutafakari kwa kina. Naona kama hayakuwa mazungumzo ya siri.
 
Ukiunganisha RED na BLUE ni dhahiri kuwa shuhuda hakuwa ndani ya kikao kama kweli kilikuwepo. Sasa hapo kwenye blue, nani alishuhudia kilichozungumzwa ndani ya kikao wakati shuhuda alikuwa nje ya geti?
Ni watu wenye akili tu ndo wanaweza kubaini kuwa hiyo story ni ya uongo.
 
Back
Top Bottom