Maelezo ya mkutano wa Al-Adawi na Ridhwan Kikwete

Didn't 8en had grownup sons? K*¥*ake wakwere, nasikia wanauza mashamba ili wakawacheze ngoma mabinti zao!

ha haaaaa ... umenikumbusha kule bagamoyo.. wakwere wanauza mashamba wananunua boda boda
 
Kuna thread zinazoawekwa ili wengi wachangie na pengine wana uelewa zaidi wa kukweza kuibua mengi lakini unaona zinafyekwa kabisa. TUKiO LA MMILIKI WA DOWANS KUKATAA KUPIGWA PICHA NI PENGINE KUTOTAKA SIRI FULANI KUFICHUKA. Wachunguzi wa mambo wamegundua kuwa ni mzanzibar mkimbizi. Lakini baada ya kuanzishwa thread hiyo imetolewa na kufichwa mahala tulani sijui mantiki yake.

Kama JF wamekuwa hivi tuamie blog ipi jamani? Watatoaje thread za maana kama hizo,kwani wao ndio wameziandika? Haijatulia kabisa
 
Tabia ya watoto wa viongozi kujifanya kuwa nao ni sehemu ya uongozi na hivyo kuingilia utendaji wa serikali kwa niaba ya wazazi wao wakati nchi siyo ya kifalme hutokea katika watu wa aina moja tu wanaopenda usultani: Saddam Hussein, Muammar Qadaffi, Amani Karume, Hosni Mubarak, Zine El Abidine Ben Ali. Ni afadhali wangekuwa wanabadilisha nchi hizo kutoka Jamhuri kuwa Monarch.
 
Swala la umeme Tanzania lazima hivi sasa lisimamiwe na Tanesco na kupewa kila aina ya uwezo kuwa na magenerator yake yenyewe pamoja na aina yoyote ile ili iweze kuondokana na ukodishaji wa aina yoyote ile kutoka kwenye makamapuni binafsi. Lazima swala hili ligharimiwe kwa njia zozote zile mikataba yote ya kufua umeme kwa kampuni binafsi isitishwe with immediate effect.


Kwa maana nyingine njia kuu za uchumi wetu lazima ziwe mikononi mwa wananchi wenyewe na sio baadhi ya watu.
 
Rz1 kuwa mwanachama wa CCM sio kosa.

Rz1 kumpigia kampeni babake sio kosa.

Rz1 kupewa escort ya polisi au bodyguards, sio kosa. Ana privileges za kuwa mtoto wa Rais, moja wapo ni kupewa ulinzi wa masaa 24 au kila atapo uhitaji. Na hii si Tanzania tu.

Unajua Kikwete ana watoto wangapi je hao wengine hawahitaji Escot ispokuwa R1 tu? Acha ujinga wewe..
 
Swala la umeme Tanzania lazima hivi sasa lisimamiwe na Tanesco na kupewa kila aina ya uwezo kuwa na magenerator yake yenyewe pamoja na aina yoyote ile ili iweze kuondokana na ukodishaji wa aina yoyote ile kutoka kwenye makamapuni binafsi. Lazima swala hili ligharimiwe kwa njia zozote zile mikataba yote ya kufua umeme kwa kampuni binafsi isitishwe with immediate effect.


Kwa maana nyingine njia kuu za uchumi wetu lazima ziwe mikononi mwa wananchi wenyewe na sio baadhi ya watu.

Unamjua Mmiliki wa kampuni ya tanesco? Huyo anaeimiliki ndio sasa anafanya maamuzi sisi wengine ni wateja na watumiaji wa huduma hiyo. Ndio maana hatuna uwezo wala ujasiri wa kuiamulia chochote kampauni hii pekee ya umeme Tanzania
 
Unamjua Mmiliki wa kampuni ya tanesco? Huyo anaeimiliki ndio sasa anafanya maamuzi sisi wengine ni wateja na watumiaji wa huduma hiyo. Ndio maana hatuna uwezo wala ujasiri wa kuiamulia chochote kampauni hii pekee ya umeme Tanzania

Kama huna cha kuongea si unyamaze tu.
 
Rz1 kuwa mwanachama wa CCM sio kosa.

Rz1 kumpigia kampeni babake sio kosa.

Rz1 kupewa escort ya polisi au bodyguards, sio kosa. Ana privileges za kuwa mtoto wa Rais, moja wapo ni kupewa ulinzi wa masaa 24 au kila atapo uhitaji. Na hii si Tanzania tu.

...kuyatenda hayo na kwa namna gani (extent) ndo hoja ilipo...
 
Katika kikao hicho Rz1 alimhakikishia Al-Adawi kuwa Dowans italipwa na pia itapewa kazi zaidi, huku pia akimuomba ushirikiano katika biashara za sekta ya nishati katika siku zijazo.

Hapa ndipo kwenye tatizo kwani hujatuambia baada ya maongezi yao waliitisha press conference ya kuulezea walichoongelea au ni vipi ulipata taarifa ya yaliyo ongelewa. Kwa yeyote mwenye akili atatilia qns mark habari yako, anyway ni mtazamo wangu tu.

 
Codecola, usiwe na tabu TANleaks ni asasi kubwa inayoweza kupata taarifa hadi zile unazotoa kwa kunong'oneza. Najua R1 ama wapambe wake wamo humu wanashambulia thread hii, kama ana ubavu atokeze ajibu ili niibue mengine ambayo nimeyaweka pending kwa sasa.
 
PHP:
HABARI MPYA
 Jumapili ya Februari 20, 2011, saa kadhaa baada ya taikuni wa Dowans kukutana na wahariri na kisha kugoma kupigwa picha, taikuni huyo alikuwa na kikao na Rizwan Kikwete. Taarifa zilizotiririka kwa mtindo wa Diplomatic kebo zinaeleza bila shaka kuwa Rz1 alimfata taikuni huyo katika hoteli ya Kempinski majira ya saa tatu usiku na kisha kuongozana naye hadi katika nyumba anayoishi ile inayoaminika kujengwa na mafisadi wa EPA iliyopo Mikocheni jirani na Rose Garden. Kikao hicho kilifanyika hadi saa tano usiku ambapo vijana wetu ambao walikuwa wakivizia nyendo za Al-Adawi walimuona akitoka na RZ1 saa 5:15 na kurejea hotelini kwake.
 
 Katika kikao hicho Rz1 alimhakikishia Al-Adawi kuwa Dowans italipwa na pia itapewa kazi zaidi, huku pia akimuomba ushirikiano katika biashara za sekta ya nishati katika siku zijazo.
 
 Hii itakuwa ni mara ya pili kwa Rz1 kujiingiza katika mkakati wa kuwekeza katika sekta hiyo ikiwa ni baada ya hatua yake ya kwanza kushindwa mwaka 2006 wakati alipoenda kusaka kampuni la kufua umeme toka Ujerumani lakini wataalam wa TANESCO wakalitilia mashaka kwa kuwa lilikuwa halina uwezo wa kuleta mashine zake na walizokuwa nazo zilikuwa za kizamani zaidi.

Dr. Slaa anapaosema JK ndiye mmiliki wa DOWANS tujue ni kweli
 
Malaria Sugu in another form, mweeeee............, utamtambua kwa matendo yake.


Let's assume hayo aliyoandika Tanleaks ni kweli, ingawa yana walakin, kwani ni dhambi au sheria hazimruhusu Rz1 kukutana na Adawi na wakazungumza ya ama biashara ya ama kusoshalaiz?

Hivi huyu Adawi na hii Kampuni ya Dowans imekosa nini? Kuna mtu anaweza kusema kosa lao ni nini?

Au hizo ni chuki na roho mbaya tu? Rizwan akikutana na tajiri yeyote duniani, hakuna kosa analolifanya. Yeye ana life yake, ana biashara zake na Mungu kamjaalia ana jina na nasaba nzuri tu, ya kuwa mtoto wa Rais.

Hivi. Nyinyi hamna watoto zenu wanaojidai kwa kuwa na baba au mama kama nyinyi? Kama ni wahandisi, madaktari, waandishi, vinyozi, madereva, hamuoni sifa watoto zenu wakisema "mimi babangu kinyozi". Sasa kwa nini Rz1 asitumie hayo na kusema "mimi babangu Rais wa JMT"? Kuna kosa hapo?

Wacheni roho za korosho.
 
Utangulizi:
Jana nimeweka thread ya mkutano wa wabunge kadhaa wa Kamati ya Nishati na Madini kisha ikang'olewa kwa kile kilichoelezwa kutojitosheleza. Lakini kile nilichokiandika kikaandikwa na gazeti la Nipashe Feb 24, 2011 katika muundo mwingine: Angalizo langu kwa MoD: Uwe na moyo wa subira hata kwa yale usiyoyapenda:

HABARI MPYA
Jumapili ya Februari 20, 2011, saa kadhaa baada ya taikuni wa Dowans kukutana na wahariri na kisha kugoma kupigwa picha, taikuni huyo alikuwa na kikao na Rizwan Kikwete. Taarifa zilizotiririka kwa mtindo wa Diplomatic kebo zinaeleza bila shaka kuwa Rz1 alimfata taikuni huyo katika hoteli ya Kempinski majira ya saa tatu usiku na kisha kuongozana naye hadi katika nyumba anayoishi ile inayoaminika kujengwa na mafisadi wa EPA iliyopo Mikocheni jirani na Rose Garden. Kikao hicho kilifanyika hadi saa tano usiku ambapo vijana wetu ambao walikuwa wakivizia nyendo za Al-Adawi walimuona akitoka na RZ1 saa 5:15 na kurejea hotelini kwake.

Katika kikao hicho Rz1 alimhakikishia Al-Adawi kuwa Dowans italipwa na pia itapewa kazi zaidi, huku pia akimuomba ushirikiano katika biashara za sekta ya nishati katika siku zijazo.

Hii itakuwa ni mara ya pili kwa Rz1 kujiingiza katika mkakati wa kuwekeza katika sekta hiyo ikiwa ni baada ya hatua yake ya kwanza kushindwa mwaka 2006 wakati alipoenda kusaka kampuni la kufua umeme toka Ujerumani lakini wataalam wa TANESCO wakalitilia mashaka kwa kuwa lilikuwa halina uwezo wa kuleta mashine zake na walizokuwa nazo zilikuwa za kizamani zaidi.

Huu ni upuuzi mtupu. Ridhiwani alikuwa Arusha na alirejea Dar es Salaam siku ya jumatatu tarehe 21 Februari saa 5 asubuhi. Aliondoka hapa usiku wa siku ya alhamisi tarehe 17 Februari, 2011. Mimi nashauri kwamba kama kweli thread hizi hazichochewi na chuki basi zifanyiwe utafiti kabla hazijapostiwa humu. Kwa mfano, aonane na huyo mmanga ili wafanye nini wakati suala hili anayelishughulikia na mmiliki anafahamika? Dunia nzima inajua kwamba dowans ni ya RA sasa unahitaji kukutana na huyu aliyevikwa uhusika ili kitokee kitu gani? Tuache kuzua na hicho kinachoitwa taarifa za kiintelijensia kama zile zilizozua maafa kule Arusha. Mara nyingi huwa ni kivuli cha kuficha uongo na uzushi ili ionekane kuwa kuna uhalisi wa tukio linalotengenezwa.
 
Sina shaka na hili, mnakumbuka hivi majuzi riz1 aliondoka kwenda uarabuni na alichukuliwa na msafara wa magari ya rais hadi uwanja wa ndege? Zipo nyepesi kuwa ndo alikuwa anakwenda kukutana na Huyo al adawi na masaa machache baada ya kurejea ndo na huyo taikun akatia mguu naye. Kazi tunayo!
 
Huu ni upuuzi mtupu. Ridhiwani alikuwa Arusha na alirejea Dar es Salaam siku ya jumatatu tarehe 21 Februari saa 5 asubuhi. Aliondoka hapa usiku wa siku ya alhamisi tarehe 17 Februari, 2011. Mimi nashauri kwamba kama kweli thread hizi hazichochewi na chuki basi zifanyiwe utafiti kabla hazijapostiwa humu. Kwa mfano, aonane na huyo mmanga ili wafanye nini wakati suala hili anayelishughulikia na mmiliki anafahamika? Dunia nzima inajua kwamba dowans ni ya RA sasa unahitaji kukutana na huyu aliyevikwa uhusika ili kitokee kitu gani? Tuache kuzua na hicho kinachoitwa taarifa za kiintelijensia kama zile zilizozua maafa kule Arusha. Mara nyingi huwa ni kivuli cha kuficha uongo na uzushi ili ionekane kuwa kuna uhalisi wa tukio linalotengenezwa.

Inaelekea wewe ni mpambe wake au rafiki yake wa karibu sana mpaka unajua safari zake vizuri. Tunaomba pia utueleze alikwenda uarabuni kufuta nini?? Maana inaelekea pia hiyo safari anazushiwa!!
 
Huu ni upuuzi mtupu. Ridhiwani alikuwa Arusha na alirejea Dar es Salaam siku ya jumatatu tarehe 21 Februari saa 5 asubuhi. Aliondoka hapa usiku wa siku ya alhamisi tarehe 17 Februari, 2011. Mimi nashauri kwamba kama kweli thread hizi hazichochewi na chuki basi zifanyiwe utafiti kabla hazijapostiwa humu. Kwa mfano, aonane na huyo mmanga ili wafanye nini wakati suala hili anayelishughulikia na mmiliki anafahamika? Dunia nzima inajua kwamba dowans ni ya RA sasa unahitaji kukutana na huyu aliyevikwa uhusika ili kitokee kitu gani? Tuache kuzua na hicho kinachoitwa taarifa za kiintelijensia kama zile zilizozua maafa kule Arusha. Mara nyingi huwa ni kivuli cha kuficha uongo na uzushi ili ionekane kuwa kuna uhalisi wa tukio linalotengenezwa.
Safari ya kutoka Arusha hadi Dar for three days?Hata kama alipanda gari moshi bado it wont take that long.
 
Watoto wanapoteza Muda. Moto wa tunisia hawauoni? hawaoni Gadafi alivyopagawa? Angalia mitandao yote inaonyesha watu wamechoka! Huyu ndiye amenifanya niimwage YANGA. Hatuwezi kuongozwa na watu wenye upeo mdogo kama huo na Mola atapishilia mbali.
 
Back
Top Bottom