Maelezo ya kina kuhusu vyeo hivi vyatutorialassistant,assistant alecturer,na senior

Mpigamsuli

JF-Expert Member
May 24, 2012
3,885
575
naomba mnieleweshe kuhusu ivyo vyeo hapo juu na m2 uwe na elimu gan ili uwe na hicho cheo kama nilivyovitaja?
 
(assistant,assistant alecturer,na senior")......think of accademic status...Udergraduate with GPA 3.8-4.4 or more, Master's degree with credible performance, PhD, Prof
 
Mimi huwa napenda sana watu wasiochoka kutafuta elimu/maarifa. Ila wewe dogo nimekufuatilia sana posts zako nimegundua kwamba hujui kama hujui haya unayotaka kufahamishwa. Kwanza nakushauri uzinagatie kwanza masomo yako ya darasani. Hivi vitu vingine vitakuwa na maana zaidi kwako ikiwa utafanikiwa kufaulu kujiunga na elimu ya juu. Otherwise, utapoteza muda wako mwingi kwenye mitandao hii halafu mwisho wa siku unafeli, na hayo unayokazania kujua hayatakusaidia kwa lolote. Nasema hivi, ni kwa sababu hata mimi nilishakuwa ktk umri na status uliyonayo sasa.

Nimeona umekuwa ukijaribu kuuliza vitu ambavyo hata unapojibiwa bado vinakuwa ni giza kwako. Kwa nini usiconcetrate kwanza kwa hicho kilichokupeleka hapo shuleni kwanza? Tambua kuanzia leo, humu ndani wanapita wazee wako, walimu wako, viongozi wako wa dini nk. Hili jukwaa sio la watoto tu, japokuwa kila mmoja ana haki ya kuexpress mawazo yake kwa uhuru. Lakini jitahidi kutambua tofauti zilizopo miongoni mwetu. Dogo soma, haya mambo mengine yatakuja baadaye.

Vitu kama: Kujua grades za chuo kikuu havikusaidii kwa sasa, wewe unatakiwa kujua grades kama A, B, C, D, E, S na F.
Lakini pia haikusaidii chochote kujua ni kozi gani wasichana wengi wanachua, au ni shule gani watu mashuhuri wamesomea, au kozi gani watu wanadisko zaidi. Haya ni mambo ambayo hayakusaidii chochote, dogo. Soma uje kuwa mshuhuri mwenyewe usiangalie umashuhuri wa watu wengine.

Naamini kama una macho na ubongo, umeona na umeelewa.
 
Mimi huwa napenda sana watu wasiochoka kutafuta elimu/maarifa. Ila wewe dogo nimekufuatilia sana posts zako nimegundua kwamba hujui kama hujui haya unayotaka kufahamishwa. Kwanza nakushauri uzinagatie kwanza masomo yako ya darasani. Hivi vitu vingine vitakuwa na maana zaidi kwako ikiwa utafanikiwa kufaulu kujiunga na elimu ya juu. Otherwise, utapoteza muda wako mwingi kwenye mitandao hii halafu mwisho wa siku unafeli, na hayo unayokazania kujua hayatakusaidia kwa lolote. Nasema hivi, ni kwa sababu hata mimi nilishakuwa ktk umri na status uliyonayo sasa.

Nimeona umekuwa ukijaribu kuuliza vitu ambavyo hata unapojibiwa bado vinakuwa ni giza kwako. Kwa nini usiconcetrate kwanza kwa hicho kilichokupeleka hapo shuleni kwanza? Tambua kuanzia leo, humu ndani wanapita wazee wako, walimu wako, viongozi wako wa dini nk. Hili jukwaa sio la watoto tu, japokuwa kila mmoja ana haki ya kuexpress mawazo yake kwa uhuru. Lakini jitahidi kutambua tofauti zilizopo miongoni mwetu. Dogo soma, haya mambo mengine yatakuja baadaye.

Vitu kama: Kujua grades za chuo kikuu havikusaidii kwa sasa, wewe unatakiwa kujua grades kama A, B, C, D, E, S na F.
Lakini pia haikusaidii chochote kujua ni kozi gani wasichana wengi wanachua, au ni shule gani watu mashuhuri wamesomea, au kozi gani watu wanadisko zaidi. Haya ni mambo ambayo hayakusaidii chochote, dogo. Soma uje kuwa mshuhuri mwenyewe usiangalie umashuhuri wa watu wengine.
Naamini kama una macho na ubongo, umeona na umeelewa.

Kweli umempa vidonge vyake coz hata akijua hayo haisaidii kitu, cha msingi ni kujitambua unataka uwe nani by professional.
 
ww unayejiita only83 kama ungekuwa unataka kunisaidia ungetoa majibu ya hoja na co kuleta maneno yasiyokuwa na maana ok!
 
ww unayejiita only83 kama ungekuwa unataka kunisaidia ungetoa majibu ya hoja na co kuleta maneno yasiyokuwa na maana ok!

Dogo kuna mtu kakujibu vizuri...jitahid ufike chuo kikuu kwan automatically utajua utofauti...cha msingi soma usishinde hapa JF bila kuwz critical thinker..otherwise this is due to your childish
 
makamuzi unashobo! natangaza vita dhidi yako alaa na tutafuatilia post zako tuone u greatthinker wako humu jf alaaaa....
 
makamuzi unashobo! natangaza vita dhidi yako alaa na tutafuatilia post zako tuone u greatthinker wako humu jf alaaaa....

Unatangaza vita dhidi yangu ili iweje...huo nimekupa ushauri utakaokusaidia dogo...otherwise u cn leave it...
 
ah ah ah ah,watu wanaweza kurushiana jebs humu,ndo raha ya JF,hata serikali wanatamani ifungwe,maana Great Thinkers ni maupeo tu tena yenye hoja zenye vina sio FB mistari yenye vina haina maana,dogo wadau washamsoma,daaaah!!!
 
makamuzi ww huna adabu kwanza kama unataka aman futa maneno yak yote ulionikejeli mim sifut ya kwang coz ww ndo mwy shob
 
makamuzi ww huna adabu kwanza kama unataka aman futa maneno yak yote ulionikejeli mim sifut ya kwang coz ww ndo mwy shob

Wapi nimekukejeli,mi nimekupa ushauri..baadae nkaona ww kichwa ngumu nkaamua nkufungulie thread..otherwise am not your enemy..najitahidi kukurekebisha uwe great thinker .ok dogo?
 
Mimi huwa napenda sana watu wasiochoka kutafuta elimu/maarifa. Ila wewe dogo nimekufuatilia sana posts zako nimegundua kwamba hujui kama hujui haya unayotaka kufahamishwa. Kwanza nakushauri uzinagatie kwanza masomo yako ya darasani. Hivi vitu vingine vitakuwa na maana zaidi kwako ikiwa utafanikiwa kufaulu kujiunga na elimu ya juu. Otherwise, utapoteza muda wako mwingi kwenye mitandao hii halafu mwisho wa siku unafeli, na hayo unayokazania kujua hayatakusaidia kwa lolote. Nasema hivi, ni kwa sababu hata mimi nilishakuwa ktk umri na status uliyonayo sasa.

Nimeona umekuwa ukijaribu kuuliza vitu ambavyo hata unapojibiwa bado vinakuwa ni giza kwako. Kwa nini usiconcetrate kwanza kwa hicho kilichokupeleka hapo shuleni kwanza? Tambua kuanzia leo, humu ndani wanapita wazee wako, walimu wako, viongozi wako wa dini nk. Hili jukwaa sio la watoto tu, japokuwa kila mmoja ana haki ya kuexpress mawazo yake kwa uhuru. Lakini jitahidi kutambua tofauti zilizopo miongoni mwetu. Dogo soma, haya mambo mengine yatakuja baadaye.

Vitu kama: Kujua grades za chuo kikuu havikusaidii kwa sasa, wewe unatakiwa kujua grades kama A, B, C, D, E, S na F.
Lakini pia haikusaidii chochote kujua ni kozi gani wasichana wengi wanachua, au ni shule gani watu mashuhuri wamesomea, au kozi gani watu wanadisko zaidi. Haya ni mambo ambayo hayakusaidii chochote, dogo. Soma uje kuwa mshuhuri mwenyewe usiangalie umashuhuri wa watu wengine.

Naamini kama una macho na ubongo, umeona na umeelewa.

Kama hataelewa hilo somo ulilompa hataelewa tena huko shulen.

Mm huwa napendelea sana kutembelea jukwaa hl. Kila nikijaribu kuingia nakutana na post ya huyu jamaa.

Post zenyewe hazina kichwa wala miguu 2naomba ajirekebishe akumbuke cku za uson atakuja kuomba msaada na watu wacmsupport.

Mm binafsi forum hii n darasa kwangu kwan limensaidia sana mpaka kufka hapa nilipo

Kama hana post za maana abak kuwa mchangiaj.

binafs nina mashaka na elimu yake!!!

Aman kwake!!!!
 
Kama hataelewa hilo somo ulilompa hataelewa tena huko shulen.

Mm huwa napendelea sana kutembelea jukwaa hl. Kila nikijaribu kuingia nakutana na post ya huyu jamaa.

Post zenyewe hazina kichwa wala miguu 2naomba ajirekebishe akumbuke cku za uson atakuja kuomba msaada na watu wacmsupport.

Mm binafsi forum hii n darasa kwangu kwan limensaidia sana mpaka kufka hapa nilipo

Kama hana post za maana abak kuwa mchangiaj.

binafs nina mashaka na elimu yake!!!

Aman kwake!!!!

Thats is the reality..dogo tunamshauri hasikii,JF ni sehemu ya kujifunza...tatizo la dogo anakurupuka tu utadhan yupo face book
 
makamuzi, unanishauri niwe greatthinker? ww unabusaraww? ungekuwa unaabusara ungepeleka hoja yako jukwaa husika ala
 
Back
Top Bottom