Charles Elias
Member
- Aug 14, 2012
- 61
- 4
Jaman naomba msaada,kuna jamaa yangu ame b admitted in bach of arts with ed at josiah kibira ila haelewi tarehe ya kuripoti,chuo kinapatikana wapi,website ya chuo na jinsi ya kupata joining instructions. Kwa anayefaham naomba amsaidie jamaa kuhusu maelezo hayo ya hiki chuo.Ahsanten!