Waheshimiwa,
Naomba msaada wa ufafanuzi juu ya sheria ya ajira ya Tanzania inasemaje juu ya mtu anaeumia kazini au kuugua kwa muda mrefu, je malipo yake yanatakiwa yawe yapi na ni wajibu wa nani?
Nitafurahi kupata michango iliyoshiba sababu nataka kusaini mkataba na kipengele hiki kinanipa tabu kidogo!
Thanks.
Naomba msaada wa ufafanuzi juu ya sheria ya ajira ya Tanzania inasemaje juu ya mtu anaeumia kazini au kuugua kwa muda mrefu, je malipo yake yanatakiwa yawe yapi na ni wajibu wa nani?
Nitafurahi kupata michango iliyoshiba sababu nataka kusaini mkataba na kipengele hiki kinanipa tabu kidogo!
Thanks.