Mutensa
JF-Expert Member
- Feb 20, 2009
- 421
- 90
Wana-JF
heshima mbele,
mimi nitatatizwa na kitu kimoja ambacho nimeona ni vema tukijadili. Kila siku ukienda mitaa ya kati (City centre) utaona kuwa si rahisi kupata maegesho ya gari. Sasa mimi nilikuwa najiuliza tatizo hili litakwisha lini. Upande mwingine wa shilingi nikaona kuwa inaelekea wale wanawekeza katikati ya mji labda kuna mawazo hawajayapata ambayo yanalipa na yanaweza kuwasaidia watanzania. Kila mtu anafikiria kuinua jengo kwa ajili ya biashara (ofisi, hotels, etc). sasa mimi nauliza ... je mtu akiinua jengo la ghorofa kadhaa kwa ajili ya parking peke yake, si atakusanya hela kama mchanga jamani? Uwezekano wa kuwekeza katika miundo mbinu hiyo haupo?
Secondly,
je serikali haiwezi kuweka sheria/utaratibu ya kuwabana wanaojenga majengo marefu waoneshe namna gani wateja wao watakavyopaki magari? Ninachokiona haswa posta na kariakoo ni majengo marefu sana yakiibuka lakini nje ya majengo hayo, ukibahatika kupata parking itakuwa ya magari si zaidi ya 5 au hamna kabisa kwa majengo yaliyo mengi.
Hili mnalionaje wadau.
Tujenge taifa kwa pamoja, mawazo ya kila mtanzania yatasaidia...
heshima mbele,
mimi nitatatizwa na kitu kimoja ambacho nimeona ni vema tukijadili. Kila siku ukienda mitaa ya kati (City centre) utaona kuwa si rahisi kupata maegesho ya gari. Sasa mimi nilikuwa najiuliza tatizo hili litakwisha lini. Upande mwingine wa shilingi nikaona kuwa inaelekea wale wanawekeza katikati ya mji labda kuna mawazo hawajayapata ambayo yanalipa na yanaweza kuwasaidia watanzania. Kila mtu anafikiria kuinua jengo kwa ajili ya biashara (ofisi, hotels, etc). sasa mimi nauliza ... je mtu akiinua jengo la ghorofa kadhaa kwa ajili ya parking peke yake, si atakusanya hela kama mchanga jamani? Uwezekano wa kuwekeza katika miundo mbinu hiyo haupo?
Secondly,
je serikali haiwezi kuweka sheria/utaratibu ya kuwabana wanaojenga majengo marefu waoneshe namna gani wateja wao watakavyopaki magari? Ninachokiona haswa posta na kariakoo ni majengo marefu sana yakiibuka lakini nje ya majengo hayo, ukibahatika kupata parking itakuwa ya magari si zaidi ya 5 au hamna kabisa kwa majengo yaliyo mengi.
Hili mnalionaje wadau.
Tujenge taifa kwa pamoja, mawazo ya kila mtanzania yatasaidia...