Maduka ya watu wa Bara yachomwa Zanzibar; yadaiwa ni kampeni dhidi ya Muungano!

wazenji tunawalazimisha na tumewalea sana ni ujinga wa viongozi wetu upo kwa maslai ya nani,na j 3 tusiwakute ilala pale kweye masspare ya magari sssss zao
 
Kama kweli limetokea ni jambo la kusikitisha. Sina uhakika kama target ilikuwa wabara kwa kuwa akichomewa mbara lazima jirani yake ambaye aweza kuwa mznz akaungua pia. Miungano iko mingi Marekani, Canada, India ni mifano. Inadumishwa kwa nguvu wakati mwingine. India kuna majimbo yanatawaliwa kutoka serikali kuu. Pondichery ni mfano. Sio kuacha watu wachache ovyo ovyo wavuruge. Tujadili namna ya ku coexist badala ya wahuni wachache kuharibu. Niliwahi kusema hapa JF na narudia ZNZ watachinjana kama kuku Muungano ukivunjika. Ole wao wauchezee.
 
Kwani nyie wabara mnatumia njia gani muafaka kuuenzi huo Muungano? Viongozi wenu huwa hawaelewi wanapooneshwa hisia za matakwa ya watu kwa maneno hadi wapewe intro kwa vitendo.

Wenzenu hawautaki Muungano ninyi mnalazimisha WHAT FOR?

Let this MUUNGANO thing dissolve peacefully.


Sasa ndio wachome maduka?
si wangeenda kuchona hata ofisi ya waziri wa muungano tungewaelewa!
 
Duuh, cheki Bara wanavyobembeleza Muungano! Watu wamechoma mali unasema "jamani msifanye hivyo."

Bara bado wako kwenye denial masikini, hawaelewi somo, wenzenu hawataki Muungano!

mwada-wachanwa-430x320.jpg
Nyeere alishawaambia viongzi wa tanganyika/tanzania kuwa wazanzbari wakiamua kujitenga bila ya kushindikizwa na taifa lolote lile basi wache wajitenge sasa kwa nini munalazimisha ? Hivi vinaitwa vita baridi,,,,just beging tu,,,,yatakuja more and more...

Hata WAPEMBA kariakoo wanaibiwa na watanganyika,nimeshudia duka zima thamani si chini la milioni 100 tu kaibiwa,,,,sisi kuja hapa karikako sio kama tunataka ila hizi mbinu wamezifanya watanganika kule zanzbar watunyanyase wafanya biashara tuhame,na unajua kuwa jeshi la police ,,,JWTZ yote ni ya muungano na waajiriwa na watanganyika,,,hakuna cha kusingizia sisi wenyewe,,bali munawaforce viongozi wetu kwa kuwatisha na kuwapa pesa ili muzidi kutulazimisha,,,,ingeliwa ni sisi wenyewe umasikini basi Uchaguzi ungelifanyika huru na musingelituingilia mambo yetu hapa zanzbar.

Viongozi waliko hapa wanawekwa na Viongozi kutoka tanganyika kwa kututisha na jeshi la police na JWTZ,,,,,lakini hatutasita kutetea haki zetu,,,
 
Last edited by a moderator:
Wewe kweli unamtindio wa ubongo km wote mnaakili mgando km hizi shn anakazi,kwa ushauri wahi kwa babu loliondo upate kikombe kabla hatujawapiga stop
 
Sasa hili halikubaliki, mi naanza kuchukua maduka ya Namanga waliyopeana enzi za Mwinyi, watashika adabu, upole wetu na huruma zetu zimetuponza, sasa hatukubali hatukubali kama wananchi... tutatumia upanga huo huo huku wanasiasa wakiendelea kuongea
 
Wazanzibari wenyewe mikwara nyau tu, tushashuhudia kitoto cha kisukuma kikimchapa jibaba la kizenji aliyekuwa anamtishia ovyo, sasa ole wao usiku
 
Inashangaza sana tunavyohangaika kubembeleza muungano na hawa nyang'au wa kipemba na kizenj. Hivi kwa nini tusivunje huu ujinga unaoitwa muungano? Hiyo zenj inafaida kwetu? Haya sasa wameanza kuchoma maduka ya wabara kesho watawaua hata ndugu zetu huko. Pumbafu sana wazenj
 
Duu!!!! Naona kama chuki ndio inaanza kupevuka sasa... sasa kama wanamwaga mboga ni vipi hapo watanganyika wakimwaga ugali?
 
Taarifa ya habari ya saa mbili usiku imeonyesha jinsi wafanya biashara kutoka bara, Zanzibar walivyochomewa biashara zao na watu wenye silaha, na kuambiwa waondoke kwa vile hao walioshambulia wamechoka na muungano.
 
Taarifa ya habari ya saa mbili usiku imeonyesha jinsi wafanya biashara kutoka bara, Zanzibar walivyochomewa biashara zao na watu wenye silaha, na kuambiwa waondoke kwa vile hao walioshambulia wamechoka na muungano.

Kamata weka ndani wahalifu wote!
 
Duu!!!! Naona kama chuki ndio inaanza kupevuka sasa... sasa kama wanamwaga mboga ni vipi hapo watanganyika wakimwaga ugali?
Serikali imeshindwa kuchukua hatua za kisheria katika kujadili masuala ya muungano sasa hivi vinaitwa vita baridi,,,ikiwa muungano hautajadiliwa upya basi watu watauwana na chuki zanzibar juu ya tanganyika bara itazidi hapa zanzbar,,,na hapo ndio tunaelekea kubaya ni bora tuachane kwa amani na utulivu,,tuache kulazimisha ...
 
Kuna mwanafunzi toka bara aliwahi kubakwa na kuchanwa pande zote na wazanzibari wawili kisha wakamtupa, hata hospitali hajapelekwa ilibidi atoke bara baba yake na kuja kumchukua, wote walimcheka tu, huu wa maduka ni moja ya mifano ya unyanyasaji wa wabara wachache Zanzibar, huku wao wakiwa na kila uhuru, sasa dawa ya moto?
 
wananchi wetu wanaoonewa hawajakosea chochote, kwanini wasingerudisha viongozi wao walioganda hapa Tanganyika kutuibia?
 
Hawa ni wahalifu tu na wala si wana harakati wa siasa. Hili ni kosa la jinai na wakikamatwa wafikishwe mahakamani. Kama ni kuuchoka muungano wajikusanye wapeleke malalamishi yao kwa viongozi wao kwanza, pili wampelekee risala rais wa jamhuri ya muungano. Hakuna cha muungano wa kulazimishwa hapa.
 
Hawa ni wahalifu tu na wala si wana harakati wa siasa. Hili ni kosa la jinai na wakikamatwa wafikishwe mahakamani. Kama ni kuuchoka muungano wajikusanye wapeleke malalamishi yao kwa viongozi wao kwanza, pili wampelekee risala rais wa jamhuri ya muungano. Hakuna cha muungano wa kulazimishwa hapa.

mahakama gani? Wakati yamejaa mabaraza ya kufungisha ndoa za kiislamu na mahakama za kadhi.
 
source. radio tbc at 4PM Kwa kile kinachoonekana kama chuki dhidi ya watanganyika vijana wa kizanzibari wamechoa maduka huko unguja ya wafanyabiashara wenye asili ya bara na kusababisha hasara ya zaidi ya milioni 400. hawa wameuchoka muungano. hivi nasisi tukiamua kwenda hapo kariakoo itakuwaje?

Bora waendelee kuchoma maana Watu wa bara tumezidi mno kung'ang'ania muungano, kila siku tukisema wazanzibara wananufaika kwenye muungano, wao bara wanafanya kila wanalotaka mpaka kumiliki ardhi wakati sisi wabara kufanya biashara tu au kuajiriwa hata nafasi za kuuza bar ni shida lakini kila siku tunawabembeleza wazinzibari kwa kuwapa kila wanachotaka ili muungano uendelee
 
Mie wazanzibari siwaelewi kitu wanachodai. Hivi leo serikali yao leo iki-declare kujiondoa ni nani atakeye wazuia? kama kuna mtu anazuia uhuru wao basi ni serikali yao ya mapinduzi.
 
Hawa ni wahalifu tu na wala si wana harakati wa siasa. Hili ni kosa la jinai na wakikamatwa wafikishwe mahakamani. Kama ni kuuchoka muungano wajikusanye wapeleke malalamishi yao kwa viongozi wao kwanza, pili wampelekee risala rais wa jamhuri ya muungano. Hakuna cha muungano wa kulazimishwa hapa.

Nakubaliana na wewe ,kuwa hawa ni wahalifu na sheria ichukue mkondo wake.
Lakini pia ni kiashiria kuwa huu Muungano kama hautajadiliwa kwa uwazi,kitaifa basi hali inaweza kuwa mbaya siku zijazo.

Nategeme huko Zanzibar pia kuna viongozi ambao wana uoni mpana ambao hawataruhusu hali hii iendelee na kukuwa.
Wahalifu wafikishe mbele ya vyombo vya sheria. Huu ni uhalifu, sio siasa.
 
Back
Top Bottom