Obuntu
JF-Expert Member
- Feb 6, 2008
- 510
- 34
Unajuaje alikuwa anlienda shopping ya kulisha mwanamme? Mianaume ya mwaka 47 hii, inadhani mke kazi yake u-house girl.Wavivu wa kupika utawajua tu. Mke mzima anaenda kununua chakula ambacho kimeshapikwa na wenzie, badala ya kupika mwenyewe nyumbani ili vinukie na mmewe apate hamu ya kula. Kila siku Shoprite-shoprite-shoprite mpaka ugali unanunua shopwrite!!!! mnaniudhi sana.
Sifa zinatuuwa sana... Mavyakula ya mle yana susa nzuri machoni si tumboni...Hivi kweli, mtu na akili zako timamu, na jinsi masoko ya kuku yalivyojaa hapa Tanzania, unaweza kwenda kununua "vibudu" pale shoprite? Misifa itawaletea matatizo!!