Pole sana makamanda wa A-town kwa Mkasa huo wa Kusikitisha..!Maduka ya mtaa wa Pangani mjini Arusha yanawaka moto huku kukiwa na kikosi kazi cha zimamoto wakijitahidi kuuzima moto huo.Polisi wapo kuhakikisha ulinzi kwa vibaka wowote watakaotaka kupora vitu ktk maduka hayo