Madudu ya Chuo Kikuu Makumira

milioni

Member
Oct 12, 2011
17
1
Wanafunzi Zaidi ya 400 waliomaliza stashahada ya Elimu mwaka 2011 hawajapangwa ktk vituo vya kazi na serikali kutokana na digrii inayotolewa hapa chuoni kutotambuliwa na TCU.
 
Ha ha ha! Afu na viongozi wetu wanaendelea kuwa kimya tu? Afu wakati kinaendelea kuingiza wanafunzi wizara husika ilikuwa hailitambui hilo? Yafaa wawajibishwe wahusika japo ni ngum kwa serikali legelege
 
Mkuu milioni ebu tueleze vizuri inakuwaje chuo kisitambuliwe na TCU ?.Mliingiaje ninavyojua Makumira ni chuo kikuu cha kwanza kinamilikiwa na KKKT.

Wanafunzi Zaidi ya 400 waliomaliza stashahada ya Elimu mwaka 2011 hawajapangwa ktk vituo vya kazi na serikali kutokana na digrii inayotolewa hapa chuoni kutotambuliwa na TCU.
 
Chuo kinatambulika ila wanachuo wamepewa BED na masomo mawili ya kufundishia wakati BED inatakiwa kuwa na somo moja la kufundishia.kama vp ingia kwenye web ya wizara hamna hata mwanachuo mmoja aliyepangwa kituo cha kazi.
 
Kuna thread humu inasema ni wahitimu 6 tu toka makumira wamepata ajira sasa hawa imekuwaje shahada yao ikatambuliwa???otherwise ni uongo
 
Stress za njii hii. Miaka mingine mbona wamekuwa wanapata post imekuwaje mwaka huu?
 
Mi siajelewa labda wachangiaji wakiendelea ntaelewa maana hiki kichwa changu saa nyingine!
 
acha uwongo ww, watu nawajua mbona wemepangiwa vituo vya kazi na wamemaliza mwaka 2011, uzembe uliofanyika hapo chuoni kwenu ni wahusika hawajapeleka majina wizara ya elimu kwa ajili ya kupangiwa, na ndyo maana hata hawa ninao wajua ni wamepangiwa kwa sababu walioaaply wenyewe na siyo kusubiri chuo kitume. View attachment AJIRA MPYA YA WALIMU WA SEKONDARI - SHAHADA 2011-2012 Final.pdf angalia hyo aatchment na uone kama hakuna wamakumira.
 
Tanzania siasa inatupeleka kubaya,mtu asome miaka 3 halafu hasitambulike kama graduate?so strange!
 
Back
Top Bottom