Madudu ya Afisa Habari mpya wa TFF

Rogie

JF-Expert Member
Nov 22, 2010
7,581
6,675
Unaweza kujiuliza mara mbili hizi elimu ya humu bwana na kama anaifahamu vyema hadhira yake. Uandishi huu ni aibu kwa Shirikisho la Soka Tanzania.
31fd8efbb873afecec02e43799ab66c3.jpg
 
Unaweza kujiuliza mara mbili hizi elimu ya humu bwana na kama anaifahamu vyema hadhira yake. Uandishi huu ni aibu kwa Shirikisho la Soka Tanzania.
31fd8efbb873afecec02e43799ab66c3.jpg


Sasa kwanini mnamuumbua hivi mwenzenu, au na wewe ulipambana naye kwenye usaili wa nafasi hiyo?
 
Sasa kwanini mnamuumbua hivi mwenzenu, au na wewe ulipambana naye kwenye usaili wa nafasi hiyo?

Hakukuwa na usaili katika hiyo nafasi. Ni mteule ndio maana tunaleta kwa wadau tuzungumze ni sahihi nafasi za namna hii mtu kuteuliwa badala ya kucompete?
 
acheni majungu, huyo mtu ni Alfred Lucasi Mhandishi wa habari nguli wa Mwanahalisi, miongoni mwa waanzirishi wagazeti ilo, mpaka anaenda TFF, alikuwa jamhuri gazeti ambalo limeonekana kukimbizana na mwanahalsi, hiii ni inshara tosha kuw huyu jamaa yupo vizuri sana maana kasi yake akiwa mwanahalisi tuliendeleea kuiona akiwa jamhuri, sasa yupo TFF, pia ni mwanafunzi katika chuo kikuu cha Tumaini DSM, kwa sasa, ila yupo kwenye gemu siku nyingi sana zaidi ya miaka 20,nadhani mtoa uzi ni miongon mwa waliopata kuchambuliwa na mtu huyo akiwa km mwandishi makini.
 
acheni majungu, huyo mtu ni Alfred Lucasi Mhandishi wa habari nguli wa Mwanahalisi, miongoni mwa waanzirishi wagazeti ilo, mpaka anaenda TFF, alikuwa jamhuri gazeti ambalo limeonekana kukimbizana na mwanahalsi, hiii ni inshara tosha kuw huyu jamaa yupo vizuri sana maana kasi yake akiwa mwanahalisi tuliendeleea kuiona akiwa jamhuri, sasa yupo TFF, pia ni mwanafunzi katika chuo kikuu cha Tumaini DSM, kwa sasa, ila yupo kwenye gemu siku nyingi sana zaidi ya miaka 20,nadhani mtoa uzi ni miongon mwa waliopata kuchambuliwa na mtu huyo akiwa km mwandishi makini.
Kwaio kwa upande wako alvopost hakna kosa?
 
Kwaio kwa upande wako alvopost hakna kosa?
tumeelewa alichosema, jf sio pahala pa kukoselea bhana hivi mtoa uzi, umeona ametoa uzi kwa lengo la kukosoa au kumuaibisha hacheni hizo nyinyi wenyewe mbona mnakosea sana
 
Kiswahili ni Libelo, kiingereza Libero


Basi ha ha haaa

The sweeper (or libero) is a more versatile type of centre-back who "sweeps up" the ball if an opponent manages to breach the defensive line. His position is rather more fluid than other defenders who man-mark their designated opponents.

800px-Association_football_5-3-2_sweeper_formation.svg.png
 
Hakukuwa na usaili katika hiyo nafasi. Ni mteule ndio maana tunaleta kwa wadau tuzungumze ni sahihi nafasi za namna hii mtu kuteuliwa badala ya kucompete?

Duh, haya bwana...ngoja ninyamaze, hayanihusu...
 
Back
Top Bottom