Kosa la Muhando liko wapi hapo sasa?
Kuna kifungu kwenye Sheria ya Manunuzi ya Umma kinakataza ofisi ya umma kufanya manunuzi kwenye kampuni ya mtumishi wa umma (wa ofisi hiyo) au mshirika wa mtumishi wa umma kwa suala la ushindanishi hapo haliingii kabisa. Ni kosa kifungu hiko kikiunganishwa na kifungu cha 31 cha Sheria ya kuzuia na kupambana na rushwa cha matumizi mabaya ya madaraka.