Kumbe na wewe unapost pumba kiasi hikiWalipewa zao wakafakamia fasta, wakapewa round ya pili wakamaliza tena. Walipoulizwa ya 3 wakaona noma
Unamsifia kuingia ikulu ya wengine wakati ameshindwa kuongoza nchi inaenda kombo? Wewe kweli kichwa cha panzi asiyejua mbele wala nyumaWamekunywa na kula na walipotoka hapo kimyaaa, hawajapata usingizi waliyoyakuta huko. Wanajuuta kwenda Ikulu, lakini ndio wametia adabu wameelewa huko kuna vichwa.
Huko wamesha Mkonvinsi Rais wa US aake Tanzania siku 4 wakati hakuna aliyewahi kukaa masaa 24? unafanya mchezo. Huko kuna vichwa vilivyi konvinsi white house ya US kuwa Rais wa kwanza kuingia Ikulu katika awamu mpya atakuwa ni kutoka hapo Ikulu. Unafanya mchezo?
we unafikiri kidogo hata kama ni wewe migodi yote hailipi kodi wamepewa dhahabu bure bushi anakuja si kuwapenda wa tz ni kuchukuwa vitoWamekunywa na kula na walipotoka hapo kimyaaa, hawajapata usingizi waliyoyakuta huko. Wanajuuta kwenda Ikulu, lakini ndio wametia adabu wameelewa huko kuna vichwa.
Huko wamesha Mkonvinsi Rais wa US aake Tanzania siku 4 wakati hakuna aliyewahi kukaa masaa 24? unafanya mchezo. Huko kuna vichwa vilivyi konvinsi white house ya US kuwa Rais wa kwanza kuingia Ikulu katika awamu mpya atakuwa ni kutoka hapo Ikulu. Unafanya mchezo?
Kweli kuna vichwa...! Wewe lazima utakuwa FaizaFoxy maana mahaba yako kwa JK hayana kipimo. Ila kweli kuna vichwa kama kipimo ni kumuweka rais wa marekani nchini siku 4 au kuchaguliwa kama rais wa kwanza africa kukaribishwa ikulu ya marekani awamu mpya ilipoanza.Wamekunywa na kula na walipotoka hapo kimyaaa, hawajapata usingizi waliyoyakuta huko. Wanajuuta kwenda Ikulu, lakini ndio wametia adabu wameelewa huko kuna vichwa.
Huko wamesha Mkonvinsi Rais wa US aake Tanzania siku 4 wakati hakuna aliyewahi kukaa masaa 24? unafanya mchezo. Huko kuna vichwa vilivyi konvinsi white house ya US kuwa Rais wa kwanza kuingia Ikulu katika awamu mpya atakuwa ni kutoka hapo Ikulu. Unafanya mchezo?
hawakunywa
Issue hapa ni "juisi" mkuu, za mida lakini?Nawapongeza madaktari kusitisha mgomo!!
wamekunywa na kula na walipotoka hapo kimyaaa, hawajapata usingizi waliyoyakuta huko. Wanajuuta kwenda ikulu, lakini ndio wametia adabu wameelewa huko kuna vichwa.
Huko wamesha mkonvinsi rais wa us aake tanzania siku 4 wakati hakuna aliyewahi kukaa masaa 24? Unafanya mchezo. Huko kuna vichwa vilivyi konvinsi white house ya us kuwa rais wa kwanza kuingia ikulu katika awamu mpya atakuwa ni kutoka hapo ikulu. Unafanya mchezo?
Wamekunywa na kula na walipotoka hapo kimyaaa, hawajapata usingizi waliyoyakuta huko. Wanajuuta kwenda Ikulu, lakini ndio wametia adabu wameelewa huko kuna vichwa.
Huko wamesha Mkonvinsi Rais wa US aake Tanzania siku 4 wakati hakuna aliyewahi kukaa masaa 24? unafanya mchezo. Huko kuna vichwa vilivyi konvinsi white house ya US kuwa Rais wa kwanza kuingia Ikulu katika awamu mpya atakuwa ni kutoka hapo Ikulu. Unafanya mchezo?