Professor of jungle
JF-Expert Member
- May 24, 2012
- 408
- 765
Kutokwa na ute mzito kwenye uume wakati wa haja kubwa je ni tatizo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
duh kweli kwa hili ma-Dr. wanahitajika tena haraka.i hope they are on way.Kutokwa na ute mzito kwenye uume wakati wa haja kubwa je ni tatizo?
@Koromeo Hiyo inaitwa Madhii sio Tatizo ni kwa sababu hujafanya mapenzi siku nyingi. Kuna watu wengine huku wanatokwa kama wewe ila wakati wanapokuwa wanapokuwa wana kojoa inatoka hiyo inaitwa Madhii usiogope ni kawaida tu . Je wewe unaye mchumba ? au umeowa?Kutokwa na ute mzito kwenye uume wakati wa haja kubwa je ni tatizo?