Jana nilikuwa MUHIMBILI NATIONAL HOSPITAL PED WARD. Nilikuta maintern wanatibu wagonjwa, sikuweza kudodosa kuwa wale ni maintern wapya au wale waliofutiwa leseni maana maintern wote wa MD waliondolewa muhimbili. na ninavyojua matokeo ya UE bado hajatoka ,kama waliopo ni wapya je, siku hizi hata kama hujapata matokeo ya mwisho unatinga intern au imeamuliwa hivyo. naomba wenye taarifa wanisaidie