Wakuu achaneni na punguani huyu, gamba original akili finyu ndiyo jadi yaoMie nakwambia hakuna, ukiona hao unaowasema wote wana mzazi mmoja wa kichagga kama si hivyo na wao wameshakuwa zaidi ya wachagga. Hiyo ya kuwa hao wote sijui wapare sijui wahindi, mimi hainiingii akilini kabisa. Kitaifa tu, mmeshasema mnataka Nchi yenu ya Kaskazini, sasa hapo hapo kwenu aje mgeni awe kiongozi wenu? hunambii hata kidogo.