Mkuchika aibua mgogoro mpya ArushaNgoja tutafute copy ya hilo gazeti na kuona undani wa kilichomsukuma Mkuchika kutoa uamuzi huo!!!
Hivi wameenda mahakamani kufanya nini? uanachama au udiwani??
Mtoto wa loser MH.Dr Jakaya Mrisho Kikwete baba yako ni looser katika kila field hana pa kukamata , angalia hata leo kaibamiza daladala akikimbilia msoga akapata upepo wa Sangoma,fungua masikio tunakwambia baba yako hawezi kuendelea kuchezea wananchi wa Arusha kupitia madiwani majibu yake atayapata muda si mrefuPro-CDM-JF, wengi ni mbumbumbu wa sheria, wanadhani a loser Dr Slaa, ana uwezo wa kupingana na mahakama wakati ili suala ni la kisheria zaidi sio porojo.
Raia wa Tanzania haki zao wanazipata mahakamani na Madiwani wa Arusha haki zao wameona watazipata mahakamani, CDM wanatakiwa wasubiri maamuzi ya mahakama hata kama kesi itachukuwa miaka mitano
Serikali na CCM inahusika vipi hapo? Maana hao magwanda wenzenu wamefungua kesi mahakamani, kwa hiyo kama mnatafuta mchawi ni mahakama na si kati ya hao.
Je pia serikali hii itawatetea mapacha watatu especialy Rostam Aziz kwani pia wao wanaonewa na wanadhalilishwa na viongozi wa CCM kwa ujumla.Wanatetewa na serikali kwa sababu haipendi kuona mtu anaonewa kwa sababu ya unyonge wake, udhaifu nk. Kitendo cha madiwani hao kufukuzwa uanachama ni kitendo cha udikteta, uonevu na udhalilishaji mkubwa sana.
And this is the point. Kwa kifupi ni kuwa uamuzi wa kamati kuu ya CDM umepingwa mahakamani, na mahakama ikausitisha. Kama wangekata rufaa kwa kufuata ngazi za chama basi uamuzi huo ungeendelea.
Shida ni kuwa pale ambapo chombo cha juu cha chama kingeamua kubatilisha maamuzi wa kamati kuu, walalamikaji wangekuwa wameathirika tayari.
Wanakuwa hawana udiwani. Ndo maana wakakimbilia mahakamani.
Naomba nieleweke kuwa siwatetei madiwani hao, ila naelezea hali yenyewe.
Pro-CDM-JF, wengi ni mbumbumbu wa sheria, wanadhani a loser Dr Slaa, ana uwezo wa kupingana na mahakama wakati ili suala ni la kisheria zaidi sio porojo.
Raia wa Tanzania haki zao wanazipata mahakamani na Madiwani wa Arusha haki zao wameona watazipata mahakamani, CDM wanatakiwa wasubiri maamuzi ya mahakama hata kama kesi itachukuwa miaka mitano
Mtoto wa loser MH.Dr Jakaya Mrisho Kikwete baba yako ni looser katika kila field hana pa kukamata , angalia hata leo kaibamiza daladala akikimbilia msoga akapata upepo wa Sangoma,fungua masikio tunakwambia baba yako hawezi kuendelea kuchezea wananchi wa Arusha kupitia madiwani majibu yake atayapata muda si mrefu
Wangekuwa wanyonge wangekubali kupokea rushwa na kuukana ukweli wa mauaji ya jan. 5 ambayo wao ndo walikuwa mstari wa mbele kwenye maandamano yake?