<br />Leo nimesikia kwenye mapitio ya magazeti asbhi kuwa serikali inatambua madiwani waliofukuzwa na CDM kuendelea na vikao mpaka mahakama itakapoamua.<br />
<br />
Wadau hii imekaaje.
<br />
Imekaaje kivipi kwani hapa ni mahakamani?, tusipende kudhani kila kitu kina amriwa ONLINE!!!