Mangandula
Senior Member
- Nov 30, 2011
- 184
- 37
Hakika siasa na utaalaam ni vitu viwili tofauti, leo hii mvua imenyesha sana hapa makambako, cha ajabu barabara za mitaa walizojinasibu madiwani wetu kuwa wamezifanyia ukarabati kwa kiwango cha changalawe zimeja maji na kufanya sehemu nyingine kupasua mifereji ili kuruhusu maji kusafiri.
Cha kujiuliza ni kwamba unaweza kujenga barabara bila kuweka makaravati? Hapo madiwani mmeumbuka tatueni kero hii haraka iwezekanavyo kwani haya madimbwi yanaharibu manidhali ya mji.
Cha kujiuliza ni kwamba unaweza kujenga barabara bila kuweka makaravati? Hapo madiwani mmeumbuka tatueni kero hii haraka iwezekanavyo kwani haya madimbwi yanaharibu manidhali ya mji.