chadema wataalam wa kuvuana uanachama
Amen!
Pia Mungu ampe maisha mafupi shibuda... Semeni Amen.
Haki ya mama,huyu jamaa wa Igoma kaanza upuuzi wake huo siku nyingi na sio siri,anataka kumpindua Mh.Wenje Wa Nyamagana,na sasa anatumiwa na magamba ya mwanza.We dogo,elimu yako mzuri,unajua kujiadress,Matata ni tofauti sana na wewe,utapotea kabisa ktk siasa.
Cdm hakimfai tunamkaribisha ccm.Sidhan kama ni solution cdm kuendelea kufukuza wanachama,inaonesha ni watu wanaokurupuka,kwan hawana kamati ya maadili ya chama ambapo mwanachama anapokosea anawekwa kitimoto.Hawa jamaa tukiwapa nchi tutaingia machafukon coz chama hakijaiva kukamata dola, kama tu mtu mmoja ndan ya chama tena diwan anaweza kuyumbisha kiasi hicho,hiki ni chama cha watu wa kasikazin tuwaachie wenyewe.
Cdm hakimfai tunamkaribisha ccm.Sidhan kama ni solution cdm kuendelea kufukuza wanachama,inaonesha ni watu wanaokurupuka,kwan hawana kamati ya maadili ya chama ambapo mwanachama anapokosea anawekwa kitimoto.Hawa jamaa tukiwapa nchi tutaingia machafukon coz chama hakijaiva kukamata dola, kama tu mtu mmoja ndan ya chama tena diwan anaweza kuyumbisha kiasi hicho,hiki ni chama cha watu wa kasikazin tuwaachie wenyewe.
Kuna wengi tu wa kufgukuzwa CDM, yaani waliokaa kifisadiccm, hawafai, watafukuzwa tu. Hukuna mchezomchezo CDM. Kama wanataka kuchezacheza waende CCM.
Chadema hawana shukurani leo Matata ana thamani tena wakati ndio kaijenga Chadema Mwanza, huyu dogo mwingine wa Igoma nae kafukuzwa?
movement for chagga kwisha habari yake watawafukuza wote, nimegundua kila anayetaka uongozi anataka kujinufaisha yeye binafsi siyo wananchi.
Amen!
Pia Mungu ampe maisha mafupi shibuda... Semeni Amen.
Yah Henry Matata, kama ni kweli amevuliwa ni sahihi, sababu historia yake hafai kuwa kiongozi ktk ngazi yoyote ile, ila alishinda udiwani kwa sababu aligombea kupitia CHADEMA, hivyo sababu wananchi walisha sema hawaitaki CCM, hivyo hawakuwa na mbadala wa kuchagua diwani mwingine kutoka chama kingine isipokuwa CHADEMA, sababu jamaa kama yeye binafsi hakuna anayeweza kumpigia kura.
mimi huyo dogo nlikua campaigna wake(diwani w\a igoma)..lakini dogo 4 sure anayo dharau ya hali ya juu,,sisi tulimsaidia coz tuliona anastahili kutuongoza ila cha kushangaza ndani ya wiki moja alitangaza nia ya kua meya wa jiji la mwz ili hali kila mtu alimuona baaado hajatosha kwa wadhifa huo,,sio kwaajili ya umri wake NO NO NO NO...NIMROPOKAJI SANA...sio kwakua anatuchefua wana chadema ths tyme???NO NO NO NO ...DOGO HATULII SEHEMU MOJA...AKA BADO NI MTAFTAJI TENA KWA SPEED KALI...Hiyo imetokana na mvutano uliokuwepo katika vikao vya halimashauri ya jiji la Mwanza ambapo diwani huyo (wa Igoma na mwenzake wa Kitangiri) pamoja na madiwani wengine kutoka CCM waliungana kujaribu kumng'oa Meya wa jiji (kutoka CHADEMA) kwa madai kuwa anaonyesha udhaifu mkubwa wa kuliongoza jiji.
Inahisiwa ni kutokana na majeraha aliyopata diwani huyo kijana na msomi pekee wa ngazi ya degree kati ya madiwani wote wa halmashauri ya jiji la Mwanza ya kuukosa umeya mwaka 2010.
Taarifa kamili zitatolewa na viongozi wa CHADEMA kitaifa.