Madiwani wa CCM Kigoma wasusia kikao

Quinine

JF-Expert Member
Jul 26, 2010
21,271
47,271
MADIWANI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji wamegomea kikao cha Baraza la Madiwani kwa kile walichoeleza kuwa ni kupinga kupewa makabrasha ya mkutano siku moja kabla ya kikao.

Wakizungumza baada ya Meya wa Manispaa hiyo, Bakari Beji kufungua kikao hicho, madiwani hao wa CCM walisema kuwa kitendo cha kuwapa makabrasha hayo muda mfupi yana lengo la kuwafanya wasipate muda wa kutosha kupitia kwa kina taarifa mbalimbali zilizomo kwenye makabrasha hayo.

My take:
Imekuwa kawaida kwa vyama vya upinzani hasa Chadema kususia vikao vya Mabaraza ya madiwani leo imetokea kwa CCM mtenda akitendwa kaonewa.
 
hata mkipewa muda muyapitie hakuna mnachoweza kuleta kipya zaidi ya malumbano ila kwa kuwa mnaona mnaonewa, je sheria inaelekeza nini?



Think 4 tanzanians citizen feature not ur interest. i know u need 2 return u wealth back but things have changed now find another way.
 
mimi niliisoma jamvini jana kuwa ni madiwani wa chadema geita ndio wamegoma kwa sababu hizo:
mtanzania
 
Hahhaaahh kumbe na wao hawapendi visa ..mbona hako kamchezo walipo wao wengi ndivyo wanavyofanya kwenye halmashauri zote?
 
Walipogomea wa CHADEMA kule Geita walisema eti ni "uchanga wa kisiasa" sasa hii ya kwao sijui wataizungumziaje
 
Back
Top Bottom