MADIWANI MKOANI MARA- chama tawala

Mpevu

JF-Expert Member
Nov 23, 2010
1,805
173
Inasemekana madiwani wengi wa chama tawala mkoani mara wameamua kurejesha kadi zao za uanachama kwa kile kiitwacho maamuzi mazito kufuatia wabunge wa mkoa huo kupitia chama tawala kutokubalika kwa wananchi, hii ikiwa ni salaam nzito kwa chama tawala ukizingatia ndio siku za kuunda Halmashauri kwa kuwachagua ma-MEYA na wenyeviti wa halmashauri. Hakuna utulivu kufuatia sakata hili la madiwani wa chama tawala huko Mara.
 
Hizi ni taarifa zimevuja jijini leo hii asbh ambapo imebidi wenye chama TWAWALA wakutane ofisi ngogo za lumumba kwa kikao cha dharura na ambacho hakujatangazwa,
 
zimevuja au zimevujishwa........ aliyevujisha ni nani......... please, ku post a thread ni sawa na journalism practice na sio sawa na kuchangia mada
 
Source source, nchi hii sasa hivi maneno yanayozunguka mdomo kwa mdomo ndo yanayoaminika kuliko yale yanayofanywa official.
 
Back
Top Bottom