Madiwani Kibao Monduli kuhamia Chadema kesho - Daily News

Tanzania bila ccm inawezekana.
CHANGAMOTO;Ni vema makamanda tuendelee kutoa elimu ya uraia na demokrasia vijijini.
Watu wamechoka na hii khali ya kuwaacha wezi wakidunda mtaani eti wajivue magamba:ALIYEWAVIKA NANI???
 
Ati ni kweli CCM wanatafuta mnunuzi wa jengo lao Arusha? Jamani wanaCDM tuchange tulinunue. CCM bye bye.
Ofisi za CCM mahala popote pale ni za wananchi kwa sababu zilijengwa kwa nguvu za wananchi nikiwemo mimi hivo 2015 tunazirudisha
 
Hawa wa Monduli kuhamia CDM wanaletwa na EL au wanakuja kwa mapenzi yao au wametangulizwa? nisaidieni wanajf

Wawe wametumwa na magamba el au wenyewe poa tu ili mradi chama cha majambazi kimeelekea kuzimu. Asante Mungu
 
Kulikuwa na mjadala hapa kuhusu Julius Kalanga kuhama au kutohamia chadema. Sasa imedhihirika kuwa alikuwa anasubiri kukusanya kundi la madiwani wa monduli ambapo kesho watahamia chadema. Maandamano makubwa yatafanyika kutoka monduli kwenda mjini Arusha kutangaza rasmi. Yeye mwenyewe ndie amezungumza na daily news.

Source: Daily News uk wa 6. Huwezi amini daily news imekuwa ya kizalendo inaweza kuandika habari kama hizi na hata ya kuhama wanachama 2400 kwenda chadema wameiandika. Kivunjwe chama cha majambazi!
WanaJF kuna kitu sijaelewa, nimesikia huko geita madiwani wa ccm wamehamia CDM na sasa wa monduli nao wanataka kuhamia CDM, kwahiyo hizo kata zinabaki wazi au imekaaje. Msaada kwenye tuta.
 
Ati ni kweli CCM wanatafuta mnunuzi wa jengo lao Arusha? Jamani wanaCDM tuchange tulinunue. CCM bye bye.

Mkuu hatuwezi kuchanga kununua jengo la UMMA. hili ni moja ya majengo ambayo kazi ya kuikomboa nchi itakapokamilika tutayarudisha kwenye umiliki wa UMMA na siyo wa chama . Haya majengo (ofisi za ccm zote) pamoja na mali nyingine nyingi kama viwanja vya mpira vinahodhiwa na ccm kwa nguvu tu lakini vilijengwa kwa nguvu za wanachi wote wakati wa chama kimoja na yanatakiwa yawe mali ya wote, hivyo kurudishwa kusimamiwa na serikali kuu ama za mitaa hilo halina mjadala.
 
Daily news walishashtuka wasomaji wake wapo mrengo gani.
Bado uhuru si muda mrefu wataanza kutoa habari za kweli. Kwasababu wana hali mbaya sana kiuchumi. Wanashindwa kuuza hata nakala 100 kwa siku. They are now considering on weekly basis rather than daily.
Daily News................... Kweli? au wanataka kufanya biashara ya gazeti lao manake si ajabu watu washalisusia!!!!!!!
 
Wakati ukifika hakuna awezaye kuzuia. Jambo la muhimu inapaswa wana na viongozi wa CDM kufurahi na wakti huo huo kupima, mageuzi yana ladha yake ila pia ni wakati wa kupanua hema na kuweka misingi itakayo weza kupembua, kutanabaisha na kuelekeza makundi mapya ili kutofika mahali waka-corrupt mwelekeo wenu.

We shall overcome some day, the day is so near.
 
Julias mwenyewe amekana hizo taarifa kwenye kipindi cha hii leo saa mbili usiku sunrise redio daily news is not reliable source
 
tunawakaribisha sana ila tunawaomba wakabidhiane kila kitu cha magamba ili wasije wakawafuata kama Ole Millya na kuanza kuwazushia kuwa wameondoka na fedha zao za saccos
 
Monduli si jimbo la Mh. Lowassa kweli ?

Kama hii habari itakuwa kweli, basi kuna tsunami ya mpalaganyiko wa kisiasa wa kutisha itakayoizamisha CCM mpaka kwenye sakafu ya bahari ya jehanamu ya kisiasa yenye kina kirefu kupita zote. Hili litatokea katika uchaguzi wa chama hicho uliokusudiwa kufanyika mwaka huu.
 
Safi sana wanajivua gamba wenyewe kabla hawajavuliwa wamepigwa pini wakapinika wenyewe wameanza kuweweseka na kukimbia bado babu lao nalo liende tu na kwa sasa CDM mjiandae kupokea na hao mawaziri,CCM hawako tayari kukaa na magamba,magamba yanavyochomoka ni furaha kwao ha ha ha ha ha ha kweli Mh Nape ulinena muda utafika kama ujajivua utavuliwa sasa wamekusikia wanajivua wenyewe na kuona future yao kisiasa ndani ya CCM imekufa ngoja wakajaribu na huko kwengine CDM.......!
 
Safi sana wanajivua gamba wenyewe kabla hawajavuliwa wamepigwa pini wakapinika wenyewe wameanza kuweweseka na kukimbia bado babu lao nalo liende tu na kwa sasa CDM mjiandae kupokea na hao mawaziri,CCM hawako tayari kukaa na magamba,magamba yanavyochomoka ni furaha kwao ha ha ha ha ha ha kweli Mh Nape ulinena muda utafika kama ujajivua utavuliwa sasa wamekusikia wanajivua wenyewe na kuona future yao kisiasa ndani ya CCM imekufa ngoja wakajaribu na huko kwengine CDM.......!
kujifariji si vibaya
 
Pretta.........! Mwanamke akiamua anaweza.. endelea kuwa front line katika mapambano ya ukombozi wa taifa letu, bali ucje tugeuka Wanaume kama Nancy cku ukipewa ofa pale Magogoni,manake Baba Mwanaasha kitabu chake cha usajili hakijajaa...
Mulika PANJA....:doh:
 
Daily news walishashtuka wasomaji wake wapo mrengo gani.
Bado uhuru si muda mrefu wataanza kutoa habari za kweli. Kwasababu wana hali mbaya sana kiuchumi. Wanashindwa kuuza hata nakala 100 kwa siku. They are now considering on weekly basis rather than daily.

gazeti la uhuru ni lilelile @ Leo limeandika, zitto kapata saini 69!! wakati wabunge karibia wote wamesaini!
 
kujifariji si vibaya

hao ni wasaliti na siku zote msaliti haachi dhambi ya usaliti huwa inamfuatilia kokote aendako mfano mzuri fuatilia historia ya Mh Kafulila,sasa ole wenu mchekao sasa maana baadae..................!
 
Back
Top Bottom