Raimundo
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 13,416
- 12,604
Inaonekana watu hawashindwi kuwatambua madikteta; Kitila umesema point moja muhimu sana. Madikteta wanahofia sana intellectuals vile vile. Lakini upande mwingine kundi la wasomi hujitengeneza kama watetezi wa madikteta hao.
Mkuu naona kwa sasa unacheza na huu mziki, umejitengeneza au umetengenezwa kuwa mtetezi wao kama ulivyosema hapa. kila la kheri mkuu.
Aione BAK