GlorytoGod
Senior Member
- Sep 8, 2012
- 158
- 50
Wanajamvi heshima kwenu,
naombeni kuuliza kuna madhara yoyote yatokanayo na kupima afya kwa kutumia computer inayoonyesha magonjwa yote mtu aliyonayo mwilini mwake?
Nisaidieni wandugu,
naombeni kuuliza kuna madhara yoyote yatokanayo na kupima afya kwa kutumia computer inayoonyesha magonjwa yote mtu aliyonayo mwilini mwake?
Nisaidieni wandugu,