LEGE
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 5,123
- 9,167
Naamin hapa nitapata jibu na ufafanuzi wa shida yangu.
Mim nimekuwa siri chakula cha mchana na badala yake mda huo nimekuwa nikira matunda kama machungwa,ndizi,embe,tikiti,tango na kutafuna karanga.
Baada ya kukutana na jamaa 1 ambaye nilikuwa namfanyia kazi yake kwa siku mbili nakubain style yangu hiyo alinikanya sana kwa kusema kuwa kufanya hivyo ni kuhatarisha afya yangu na ninaweza pata vidonda vya tumbo.Na akadai kuwa matunda yaliwapo pindi uwapo na njaa sana huenda kukwangua utumbo.
Aliendelea kwa kudai kuwa matunda yana faida zake na hasara zake na hizo ndiyo hasara zake.
Je wadau kuna ukweli wowote juu ya hilo.
Mim nimekuwa siri chakula cha mchana na badala yake mda huo nimekuwa nikira matunda kama machungwa,ndizi,embe,tikiti,tango na kutafuna karanga.
Baada ya kukutana na jamaa 1 ambaye nilikuwa namfanyia kazi yake kwa siku mbili nakubain style yangu hiyo alinikanya sana kwa kusema kuwa kufanya hivyo ni kuhatarisha afya yangu na ninaweza pata vidonda vya tumbo.Na akadai kuwa matunda yaliwapo pindi uwapo na njaa sana huenda kukwangua utumbo.
Aliendelea kwa kudai kuwa matunda yana faida zake na hasara zake na hizo ndiyo hasara zake.
Je wadau kuna ukweli wowote juu ya hilo.