Madhara ya Sukari kwa binadamu

Kwa hivyo mwataka tuaminisha kwamba JPM alivyosema atagawa bure yale matani ya sukari weye kuendi kuchukua kwa kuogopa kisukari?? Wakaa wapi mkuu nije unipe shea yako?
Kama huna pesa ya kununua hata maji yanaletaga ugonjwa wa kukojoa kitandani, tusinywe ,maji ya Uhai. Tena yana chumvi nyingi ambayo ni hatari mwilini. Tunywe maji ya visimani kwani yamechujwa tiyari na mchanga.
Leta wazo jingime ila hili la sukari, acha watu wajilie vyao. Watu wameinunua kwa bei mara mbili wasema yaleta ugonjwa!
 
mkuu kwavile nyie mna uwezo wa kunywa juice asubui mkazani wote wako hivyo

Wala mkuu sie wote wa familia za kawaida. Uji mbona na wenyewe una hiyo sukari inayohitajika ndani ya mwili. Sioni sababu ya Watanzania kupanik sana kisa sukari mkuu
 
Kwa hivyo mwataka tuaminisha kwamba JPM alivyosema atagawa bure yale matani ya sukari weye kuendi kuchukua kwa kuogopa kisukari?? Wakaa wapi mkuu nije unipe shea yako?
Kama huna pesa ya kununua hata maji yanaletaga ugonjwa wa kukojoa kitandani, tusinywe ,maji ya Uhai. Tena yana chumvi nyingi ambayo ni hatari mwilini. Tunywe maji ya visimani kwani yamechujwa tiyari na mchanga.
Leta wazo jingime ila hili la sukari, acha watu wajilie vyao. Watu wameinunua kwa bei mara mbili wasema yaleta ugonjwa!

Me sioni sababu ya watu kupaniki kwa sababu ya sukari. Mambo mengine ni kujaribu kukabiliana na hali halisi iliyopo lile ambalo siyo lazima sioni haja ya kunyenyekea mafisadi.

Ifike mahali na wenyewe wajue kuwa twaweza kuwasusia hiyo bidhaa na wakapata hasara na isituadhiri chochote kiafya..
 
Sukari utengenezwa kwa kutumia nini?
Bila shaka ni miwa,viazi vitam na kadharika,
Hivyo basi inamaana vitu kama miwa na viazi vitam vinamadhala katika miili yetu?? #mzizi mkavu
 
Kama ina madhara bora si bora iendelee kufichwa? nani atuokoe na hili janga!
 
Watanzania mnapiga kelele sukari sukari.Sukari haina faida yoyote kwa mwili wa binadamu chukueni mafasi hii kuachana na sukari.Baada ya kulalamika umeme,maji safi mnalalamikia sukari?Niambieni faida ya sukari ninini.
 
Dah hizi shule Ni shida kwa sasa ! Sukari siyo tu kwa ajili ya chai majumbani lakini asilimia kubwa utumika viwandani kutengeneza vinywaji baridi Na Moto.
 
Mambo ya sukari nshaweka kapuni. Nimeamua kununua hapo lita 5 ya asali..na sirudi tena huko. Honey z beta than sugar healthwize.
 
Dah hizi shule Ni shida kwa sasa ! Sukari siyo tu kwa ajili ya chai majumbani lakini asilimia kubwa utumika viwandani kutengeneza vinywaji baridi Na Moto.
hutumika*



ni kweli hizi shule ni shida aisee..!!
 
Sukari tunayotumia ni chanzo cha nishati ndani ya mwili baada ya kuwa oxidised during respiration.
 
Mwili unahitaji sukari lakini sio hii tunayoililia leo,hii iliyoadimika ni sumu katika miili yetu japo hatujui maana tunaitumia bila kujua jinsi inavyotengenezwa na madhara yake
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom