Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
@ Blaki Womani Asante na wewe Ubarikiwe mbinguni..........asante MziziMkavu kwa elimu unayotoa hapa jamvini
@CUTE na wewe pia Ubarikiwe mbinguni.....asante sana na ubarikiwe mkuu
Mkuu Zogwale Sukari ina madhara lakiniDaktari wangu MziziMkavu umetoa angalizo zuri sana kwa matumizi ya sukari na athari zetu mwilini. Ninapenda kama unaweza kutupa dondoo kwa madhara ya sukari kwa matumizi ya asali. Sote tunajua kuwa asali inakuja kwa kasi sana katika matumizi ya kubibu magonjwa mbalimbali na kirutubisho pia. Sasa sukari ya asali haina madhara kwa hayo uliyoorodhesha hapo juu? Japo kweli tunajua asali inatokana na natural pollen sugar, etc but whati can we say my Dr?