Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,701
Asante.Ni heri unywe pombe kuliko soda,soda ni sumu tamu,formula yake haina tofauti na cocaine,inasababisha magonjwa mengi sana mwilini ikiwemo kupunguza uwezo wa kinga mwilini,uwezo wa ubongo kufikiri,uwezo wa tumbo kufanya kazi katika kuyeyusha chakula,kuharibu mifupa,soda ndiye muuaji no.1 duniani.