Qulfayaqul
JF-Expert Member
- Apr 10, 2008
- 480
- 84
Nadhani kanywa gongo aka chang'aa aka nyeupe, maana naona chupa ya soda, pombe hizo mara nyingi kipimo chake ni ujazo wa chupa za soda. Thats why wanywaji wake wakiagiza utasikia naomba fwanta moja, hapo ujue gongo katika ujazo wa chupa ya fanta.