Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,592
- 29,712
..hebu belinda kuwa muwazi tukusaidie.Masa na Fidel80!
No doubt nyie mnaona ina raha sana,hatukatai. Pia kama mwanamke huwezi kusema hapa kama unajaribu au umefanya, si mnaijua vizuri jf maana kesho na keshokutwa mtu anakunukuu kwa ulichoandika.Its more private kwenye maisha ya mtu!
Mpeni madhara ya TG huyu mtu ajue ili akitaka kujaribu au kama anasikia ajue raha na madhara yake.
TGIF..Express yourself!
ktk maisha yako ya miaka uliyoishi hakujawahi au haijawahi kutokea kweli mtu kupata dharura wakati anaingia kwako?? pls bellly sema ukweli basi