Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,319
- 33,125
Last edited by a moderator:
Usilete chuki zako Mkuu Bila ya Zanzibar hakuna neno Tanzania Wa Tanzania wote ni ndugu moja Jaribu kumuheshimu Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere Mwenyeezi Mungu aiweke roho yake pema peponi.Katika vitu ambavyo babu Nyerere alituingiza chaka ni kwenye huu muungano wake na hawa kupe wa kizanzibar