Mtu wa Mungu
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 444
- 19
WanaJF wakereketwa wa CDM, HAKUNA madhara!!!!!!!!!!!!!! Anaye-advocate kwamba kuna madhara hatutakii mema!!!!! Ukombozi ni vita !!!!!!!!!!!!! CDM ina wasomi kupindukia na wanaelewa vyema kabisa wanachofanya!!!!!!!!!!!! Hapa ni vita ya kung'oa mizizi ya ufisadi/ushirikina/uchawi/ujinga/maradhi na mengine yota yatokanayo!!!!!!!!!!! Pipoos Pawaaaaaaaaaaaaaaaaa! Tumieni vyema fimbo ya Serekali Kivuli bungeni kupindua kila jiwe!!!!!!!!!!!!! Nguvu ya Umma iko nyuma yenu!!!!!!!!! Mkisahau kumbuka ile nguvu iliyoonekana Nyamagana, MBY,ARU, MSM, IRA, MSH,UBNGO, KAWE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!