Madhara ya kula nyama ya Nguruwe/Kitimoto kwa afya yako...

......."Hakuna mtu aliyetumia kitabu kuharamisha "pork" Ila kama umesoma vizuri issue imeanzia kwenye scientific facts ambazo wataalam wanasema kutokana na pork tissue huenda ndiyo sababu hata vitabu vitakatifu vikamkataza mwanadamu kumtumia mnyama huyu. Kumbuka kila kitu huendana na afya. .....Sasa wewe ukitaka Quran na vitabu vingine vitumike ili kuharamisha pork unataka kuelekea kwenye league ya religion ambako huko itakuwa ni vigumu sana kufikia muafaka kutokana na kila mtu kuwa na imani yake. kitu ambacho unatakiwa kujua ni kwamba

minyoo Siyo sababu ya quran kukataza kitimoto. Kuwa na minyoo, waliiona wapi miaka hiyo wakati ambapo hata light microscope haiukuwepo kwenye horizon! Issue ya kwamba kitabu cha dini kimetabiri itakavyokuwa au ilivyo huwa ni hisia tu za watu za kutaka kuhararisha matakwa yao. Ninavyofahamu mimi Quran imekataza kwa sababu ya utamu wake. Miaka hiyo Iliandaliwa bonge la party, yaani kubwa sana, na nyama ya kitimoto ikawekwa kwa ajili ya mheshimiwa pekeee kwa kuwa ilikuwa kidogo! hapo mweshimiwa akasema hii ngoma inaleta uchoyo kwenye jamii na ikapigwa full stop! Siku hizi kitimoto kibao, labda tuanze kula wote, kama inavyoonekana kwa baadhi, ndiyo chaweza potea!
Una ushahidi wa haya uliyo yaandika kaka...!? Au just porojo za vichochoroni...!?
 
Nimekuelewa vizuri tu. Kwamba umekosa la kuchangia kisayansi ukaamua kutumia Biblia ambayo umekoti yale ambayo unaona yanakufaa na yale yanayokushushua ukayaacha.

Matatizo ya ulaji wa nyama ya nguruwe yanajulikana, ikiwa kisayansi au kidini na hata kitabia. Kupelea kwangu mimi kuandika na kutoa ref toka huko niliko toa kumetokana na baadhi ya watu wanao changia hapa kuto amini mpaka jambo liwe limeandikwa kwenye hivyo vitabu vyao wanavodai kuwa ni vitakatifu.

Nili'quote hicho kipengere kutoka biblia kwa sababu ndicho kinacho husu ulaji wa nyama ya nguruwe, je ulitaka nichukue quote hata kama haiingiliani na mada tunayo jadili hapa...? Kwa nini tutoke nje ya mada?

Mbona hamuhulizii panya, mijuzi na vinyama vingine....!? Moja kwa moja mkakimbilia ngamia!?

Masuala ya kisayansi na ulaji wa nyama ya nguruwe, nina kijarida ambacho mimi binafsi ndiye mwandishi wake. Na nilikiandika mwaka 2003...!

Tunapo jibu hoja huwa tunazingatia na suala lililoko mezani. Si kutoa hoja na quotations zisizo endana na mada.

Habari ndio hiyo.

X-Paster
 
Quote:
Originally Posted by Hofstede
......."Hakuna mtu aliyetumia kitabu kuharamisha "pork" Ila kama umesoma vizuri issue imeanzia kwenye scientific facts ambazo wataalam wanasema kutokana na pork tissue huenda ndiyo sababu hata vitabu vitakatifu vikamkataza mwanadamu kumtumia mnyama huyu. Kumbuka kila kitu huendana na afya. .....Sasa wewe ukitaka Quran na vitabu vingine vitumike ili kuharamisha pork unataka kuelekea kwenye league ya religion ambako huko itakuwa ni vigumu sana kufikia muafaka kutokana na kila mtu kuwa na imani yake. kitu ambacho unatakiwa kujua ni kwamba

minyoo Siyo sababu ya quran kukataza kitimoto. Kuwa na minyoo, waliiona wapi miaka hiyo wakati ambapo hata light microscope haiukuwepo kwenye horizon! Issue ya kwamba kitabu cha dini kimetabiri itakavyokuwa au ilivyo huwa ni hisia tu za watu za kutaka kuhararisha matakwa yao. Ninavyofahamu mimi Quran imekataza kwa sababu ya utamu wake. Miaka hiyo Iliandaliwa bonge la party, yaani kubwa sana, na nyama ya kitimoto ikawekwa kwa ajili ya mheshimiwa pekeee kwa kuwa ilikuwa kidogo! hapo mweshimiwa akasema hii ngoma inaleta uchoyo kwenye jamii na ikapigwa full stop! Siku hizi kitimoto kibao, labda tuanze kula wote, kama inavyoonekana kwa baadhi, ndiyo chaweza potea!
Una ushahidi wa haya uliyo yaandika kaka...!? Au just porojo za vichochoroni...!?
Hiyo Quote imekaa kama vile inanijibu, ila XP huyu mwanjelwa anacholeta ni porojo za mitaani tu hana anachofahamu kuhusu hili zaidi ya yeye kupenda kula pork na kukataa ukweli kuhusu madhara yake.
 
Hiyo Quote imekaa kama vile inanijibu, ila XP huyu mwanjelwa anacholeta ni porojo za mitaani tu hana anachofahamu kuhusu hili zaidi ya yeye kupenda kula pork na kukataa ukweli kuhusu madhara yake.

Message received...!

Ugonjwa wa maralia dawa zake ni chungu sana...! Sasa ukiwa na mtoto mwenye kuuguwa maralia na ukaogopa kumpatia doze ya uhakika ili kutibu maradhi, unaweza kumkosa...! dawa ni chungu lakini hakuna budi mgonjwa anywe ili apone...!
 
Una ushahidi wa haya uliyo yaandika kaka...!? Au just porojo za vichochoroni...!?
Yes. NItafute nikupe data kuhusu hii. Kuna information nyingi sana ambazo watu hawazijui kwa kuwa hazijaandikwa kwenye hivyo vitabu ambavyo mimi kama scientist nakwepa sana kuvitumia. Kwani kitakachotokea baada ya kuvitumia ni ubishi. Mwishowe kabisa kunakuwa hakuna mtu mwenye facts, zaidi ya kukariri mistali kwenye hizo books.

Kuhusu hilo party lililo-involve kitimoto miaka hiyo nina uhakika kabisa. Mheshimiwa alipokuta kitimoto ndiyo pekee kala, ili wengine, wakiwemo watoto wanatoka mate, akakipiga marufuku! Actually kitimoto ilikuwa inalambwa sana na kila mtu miaka yote kama vile samaki asiye na magamba kwa leo hii.

Ndiyo maana niliwaambiwa, samaki ni hatari zaidi kwa minyoo kuliko kitimoto. SASA hivi hata Japanese wenyewe hawali sushi mpaka wajue kama vert aliiona fish kabla ya preparation.

Kitimoto bwana usiikaange kabla ya kuchemsha. chemsha then kaaga. Tumia kwa kachumbari. Utahama na hiyo dini yako!!
 
Kitimoto bwana usiikaange kabla ya kuchemsha. chemsha then kaaga. Tumia kwa kachumbari. Utahama na hiyo dini yako!!

That is the main reason why you give us blah blah blah and don't want to agree with scientific findings about "pork" enh!. Ok go on hoping it is wealth for you dying for.
 
That is the main reason why you give us blah blah blah and don't want to agree with scientific findings about "pork" enh!. Ok go on hoping it is wealth for you dying for.

I believe the message is delivered in a proper manner founf its way into your brain. Wenyewe wanasema ujumbe umefika! Karibu sana kitimoto
 
Matatizo ya ulaji wa nyama ya nguruwe yanajulikana, ikiwa kisayansi au kidini na hata kitabia. Kupelea kwangu mimi kuandika na kutoa ref toka huko niliko toa kumetokana na baadhi ya watu wanao changia hapa kuto amini mpaka jambo liwe limeandikwa kwenye hivyo vitabu vyao wanavodai kuwa ni vitakatifu.

Nili'quote hicho kipengere kutoka biblia kwa sababu ndicho kinacho husu ulaji wa nyama ya nguruwe, je ulitaka nichukue quote hata kama haiingiliani na mada tunayo jadili hapa...? Kwa nini tutoke nje ya mada?

Mbona hamuhulizii panya, mijuzi na vinyama vingine....!? Moja kwa moja mkakimbilia ngamia!?

Masuala ya kisayansi na ulaji wa nyama ya nguruwe, nina kijarida ambacho mimi binafsi ndiye mwandishi wake. Na nilikiandika mwaka 2003...!

Tunapo jibu hoja huwa tunazingatia na suala lililoko mezani. Si kutoa hoja na quotations zisizo endana na mada.

Habari ndio hiyo.

X-Paster


Unatetea ulaji wa nyama ya ngamia ambaye hana tofauti na mbwa, nguruwe, samaki nchanga (panya), sungura, na wengineo.

habari ndiyo hiyo.

(Mchungaji Ladslaus)
 
Ndiyo maana niliwaambiwa, samaki ni hatari zaidi kwa minyoo kuliko kitimoto. SASA hivi hata Japanese wenyewe hawali sushi mpaka wajue kama vert aliiona fish kabla ya preparation.

Kitimoto bwana usiikaange kabla ya kuchemsha. chemsha then kaaga. Tumia kwa kachumbari. Utahama na hiyo dini yako!!

mmmmmh ndo mwanasayansi wa kwanza wewe kukuskia samaki ni hatari kuliko kitimoto, mmmh sijaenda shule lakini hii haikukaa vizuri. kile kijidaktari changu daily kinaniambia katika nyama safi ni samaki! sijui kinanidanganyaga.aakh haya wee acha tuchanganywe , si tulikimbia umande.
 
mmmmmh ndo mwanasayansi wa kwanza wewe kukusikia samaki ni hatari kuliko kitimoto, mmmh sijaenda shule lakini hii haikukaa vizuri. kile kijidaktari changu daily kinaniambia katika nyama safi ni samaki! sijui kinanidanganyaga.aakh haya wee acha tuchanganywe , si tulikimbia umande.


....Mwalimu wako alikuambia kuwa protein ya fish ndiyo nzuri zaidi kiafya kwa binadamu kwa kuwa ina a lot of unsaturated fat acids ambazo zinakuwa broken kirahisi mwili (Nimekosa nenos za kiswahili) , ila nadhani hakukuambia kuwa inaweza kuwa infected na parasites wakiwemo minyoo. Watu wengi wanaumwa minyoo kwa sababu ya kula fish!

Jaribu check hapa kwa information...Eating raw finfish:
 
mmmmmh ndo mwanasayansi wa kwanza wewe kukusikia samaki ni hatari kuliko kitimoto, mmmh sijaenda shule lakini hii haikukaa vizuri. kile kijidaktari changu daily kinaniambia katika nyama safi ni samaki! sijui kinanidanganyaga.aakh haya wee acha tuchanganywe , si tulikimbia umande.


....Mwalimu wako alikuambia kuwa protein ya fish ndiyo nzuri zaidi kiafya kwa binadamu kwa kuwa ina a lot of unsaturated fat acids ambazo zinakuwa broken kirahisi mwili (Nimekosa nenos za kiswahili) , ila nadhani hakukuambia kuwa inaweza kuwa infected na parasites wakiwemo minyoo. Watu wengi wanaumwa minyoo kwa sababu ya kula fish!

Jaribu check hapa kwa information...Eating raw finfish:

Kwenye samaki, parasite wengi wako kichwani. So avoid kula kichwa cha samaki.
 
Unatetea ulaji wa nyama ya ngamia ambaye hana tofauti na mbwa, nguruwe, samaki nchanga (panya), sungura, na wengineo.

habari ndiyo hiyo.

(Mchungaji Ladslaus)

Why you put words in my mouth...!!! Kuna kiumbe chochote nimekitetea hapo juu. Kwani huwezi kuhubiri mpaka utumie uwongo!?

Grow up kijana, jifunze kusimama kwenye mada.
 
Last edited:

Masuala ya kisayansi na ulaji wa nyama ya nguruwe, nina kijarida ambacho mimi binafsi ndiye mwandishi wake. Na nilikiandika mwaka 2003...!

X-Paster

Conflict of interest !!! Yaani kumbe source ya hii umeiandika wewe mwenyewe? It's like a student marking an examination done by himself/herself. Unategemea atasema jibu hili si sahihi?
 
Conflict of interest !!! Yaani kumbe source ya hii umeiandika wewe mwenyewe? It's like a student marking an examination done by himself/herself. Unategemea atasema jibu hili si sahihi?

Kwa bahati... hii thread mimi ni mchangiaji tu, sikuianzisha mimi. Sorry!
 
Wana JF ni kweli nyama ya Kitimoto inahitaji maandalizi ya kutosha ili iive na kuwa salama kwa kuliwa,hivyo wote mzingatie ushauri uliotolewa na mwenzetu ili msithurike na minyoo inayopatikana kwayo.Ndugu na Jamaa pia tuwashauri kuhusu hilo kwani muhimu ni maandalizi ya kutosha kwa kuwa ni chakula kinachopendwa na wengi.
 
Kwenye samaki, parasite wengi wako kichwani. So avoid kula kichwa cha samaki.
kale kaubongo kasamaki hakaliwi kanafyonzwa thhhhh.na ukikafyonza lazima macho yafumbe nusu (yarembuke).katamu kuliko chaza ya kupwaza. gudi advaisi maza (mother,mama)
 
Ireland scrambles to contain pork cancer scare

DUBLIN (AFP) — Irish pork was removed from sale in Europe and Asia in Monday amid fears of a cancer link, as Ireland scrambled to find the source of the scare.

Japan, Singapore and South Korea suspended imports from Ireland after Dublin ordered all pig meat products to be withdrawn as cancer-linked chemicals were found in slaughtered pigs thought to have eaten tainted feed.

Irish police joined the investigation into a pig feed company suspected of being behind the contamination, which has caused panic in Ireland at a time when many families would have been buying their traditional Christmas ham.

"We will be assisting as required," a police spokesman told AFP, declining further comment.

Irish authorities on Saturday ordered a full recall of all pork products made in the country after the discovery of dioxins, which in high doses may cause cancer, in slaughtered pigs.

Ireland is a major exporter of pork with 129,000 tonnes, worth 368 million euros (466 million dollars), sent to international customers last year.
Britain was the biggest customer but exports also went to Germany, France, the Netherlands, Denmark, Russia, Japan, Hong Kong, the United States and China.

The pig feedstuff firm at the centre of the investigation, Millstream Recycle, vowed to work with authorities "to ensure that any product sold to the pig industry in recent weeks is identified and recalled".
The country's chief veterinary officer Paddy Rogan said investigators were also checking other facilities but Millstream Recycle "is the one that is most under our microscope at this time."

Rogan said it was believed the contamination was connected with an industrial oil.

He told RTE that laboratory tests had shown that the type of dioxins were "consistent with this type of industrial waste oil type similar to that found in other (EU) member states and in other such incidents."
In a brief statement Millstream said it had "always prided itself on exceeding the strict standards of quality and safety."

Company spokesman David Curtin denied that any oil or other substance had been added to the feedstuff during the processing.
He said what was under investigation was oil used to power machinery to dry the recycled bread products and dough used to make the pig feed.
Rogan said nine pig producer operations in the Irish Republic had been sealed off, as well as 38 beef farms that also received the contaminated feed.

The contamination risk for beef is however considered low, as cattle mainly eat grass.

He said: "We have been in discussion with various groups including the large retailers and with the pig meat processing sector.
"In terms of getting product back on the shelves, we are very hopeful we will have perfectly safe Irish product back on the shelves for consumers within a matter of days."

The crisis is another blow to recession-hit Ireland, where about 5,000 people are employed in the pig meat industry.
The nine operations involved produce about 10 percent of the country's pigs. Rogan said the republic's other 490 pig farms were totally outside the contamination scare.

Dioxins are toxic chemicals that can have serious health effects, including causing cancers, if there is long-term exposure to them at high levels.
Food Safety Authority of Ireland deputy chief executive Alan Reilly said dioxin levels found in meat samples were between 80 and 200 times above the legal limit but stressed the risk to the public was "very, very low".

FROM: Pork Cancer
 
mpaka hapo umeona na umekubari kuwa Yesu pekee ndie atatimiza sasa kama umetwambia hivyo muhamad amekuja kufanyanini mbona unatuchanganyia madesa kaka.

Yesu ndio tatimiliza sasa ni bora tumsubiri huyo Yesu hakuna mwengine tena.

Kuhusu hicho kitimoto sijui kama nyinyi mmekatazwa kwenye vitabu vyenu maana waislam wengi tu wanakula tena wanaipenda sana.



SuperStock_1612R-11631.jpg


Sinza JJ
nasi_lemak.jpg



PigFarmMorocco_wideweb__470x313,0.jpg



pork-chops-florentine09-400.JPG


spanish%20pork%20kabobs04-400.JPG


pork_noodle.jpg


Lakini watu wanasema mbaya wa sura tu ila ni mtamu mno.
pigwithteeth-vi.jpg

Weye Mkanya weye, umenifanya nikimbie dukani kununua Kitimoto.

Hivi sasa ninakoleza jiko nianze Berbaque ya nguvu.

Waislam karibuni kula Nguruwe katika Biblia.

Kitimoto hicho, utamu wake wapita kifani.

Kitimoto si hatari kwa afya yako
 
Last edited:
Duh kuacha kitimoto......................
Ni ngumu sana
 
Duh kuacha kitimoto......................
Ni ngumu sana

Kama ilivyo "kuacha kuchukua dadapoa na nyumba ndogo na waume/wake za watu bila kutumia condom", "Siku ukipewa majibu upo HIV positive unasahau raha zote ulizokuwa unapata bila kutumia condom"
 
Back
Top Bottom