Nduka Original
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,012
- 816
Nina shida kidogo ya kiafya hivyo nimeambiwa nipunguze fat, sugar, protein na starch. Kuna baadhi ya viti nimeacha kabisa kula kama red meat, wali, ugali, sukari na chumvi. Nimetokea sana kupenda kula korosho karibia robo kilo kila baada ya siku mbili. Je inaweza kuwa na madhara yoyote mwilini?