Madhara ya kuangalia Picha/Video za Ngono kwa Wanaume na Wanawake

du unaonekana unazifuatilia sana pale UD enzi zetu zile za mwalimu kuanzia saa 4 usiku pale ATB zilkua zinaonyeshwa pale na zilikuwa zinaitwa vitafunio

mie sio wa UD,wala sijawahi kukanyaga huko!mie wa vibanda umiza mjomba!
 
Kwa majibu haya unastahili kwenda Milembe Dodoma.Mtoa mada hana tatizo lolote kama huna cha kuchangia kaa kimya.

Ha ha ha ha ha ha ha!!!!Aende milembe kwa matatizo yepi? Kukemea mada za kitoto zisizo na mashiko? Aende kule facebook. sio hapa. hapa ni jukwaa la heshima. Iwe mwanzo na mwisho kuleta mada zisizo na kichwa wala miguu. Kama hana mada, akae kimya, atulie, asome michango ya watu walioenda shule kama mzee mwanakijiji.
 
Wajameni,naombeni mnijuze hasara na faida za kuangalia picha za ngono!
Mkuu nime gundua swali lako ni zuri sana,sema ume uliza watu
wenye matatizo mengi sana katika maisha yao,na wana tafutia pa kupumulia.

Wajua nataka kupata majibu sahih ya kumpa kijana wangu wa kiume bse anaangalia sana....

Ni wa ajili ya kumpa kijana wangu wa 15yrs majibu sahih

Ni vizuri sana kama utakaa nae,muulize akimaliza kuangalia hua ana fanya nini?
Ana faidika nini?
Anaangalia kwa mda gani?
Kuna nini ana jifunza?
Alianza lini?
Nani alimfundisha?

Maswali haya yata kufanya ujue ni kipi ana pungukiwa,kama baba kaanae uongee nae ili ajue
madhara ya kuangalia (ambayo ndio umetaka kujua hapa ili uongee nae,hatua nzuri)

Anaangalizia chumbani kwake kwenye computer...nimepiga saaaana

Kilicho nisikitisha ni kwamba kila akiangalia una mpiga!!
Kwanini unaona kumpiga ndio suluhisho la yeye kuto kuangalia?
Ukimkuta anaangalia,(lazima utaona pia alicho kua anaangalia ) una jisikiaje?

Kama ni vibaya,anzia hapo hapo,hilo ndio baya la kwanza la kumuonya nalo,...ukimpiga ataanza
kuangalizia kwa marafiki (na huko akiangalia za wanaume kwa wanaume na yuko na rafiki zake
itakua mbaya zaidi).Shukuru sana anaangalizia nyumbani,...usimpige.


puchuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!

Haya ni moja kati ya matokeo ya kuangalia picha za ngono,ata jichua.
Kujichua kuna faida na hasara zake,ina tegemea na anae jichua ana jichua hivo
akiwa na mawazo gani,yuko na nani,na kwanini. Ni somo pana sana hili.

porn inasaidia watu kuyopata ngoma...maana wanaangalia na kwenda kupiga nyeto.....wanawake wala huna shida nao tena.

Kwa umri wake,hili nalo ni zuri kwa upande mmoja,ita mfanya asiwe na hamu na
videmu,lakini kwa picha ya baadae sana,sio nzuri kwake. (faida za mda mfupi hizi)

Kwa ufupi tu ni kwamba,mwambie sio nzuri kisaikolojia.
Hadi ajue kupigana na saikolojia yake wakati ana litenda (kujichua,matokeo ya picha za ngono) hatakua
ana faidika na picha hizo.

Hasara nyingine ni kwamba asipo jichua,atatafuta dadapoa,ata kanyaga umeme na una mpenda sana
kumpoteza.

1.Style
2.Starter
3. Appetizer
Angekua mtu mzima (kama wewe) haya ni muhimu sana,ila kama tu gari yako haiwaki
hadi isukumwe.

Asante.

Mwisho.


Engliberm , Type na wengine,....Hizi ni dharau za kijinga,hamna faida yoyote mnayo ipata kwa dhihaka hii.
 
Last edited by a moderator:
Hizi zinztumika kama stimu kwa watu ambao stimu ziko mbali na
wakati mwingine kama darasa sasa wewe cjui unatakaje maana
hata style nyingine huwezi kumpiga wife home utavunja ndoa
 
faida ni kujifunza ku ngonoka..hasara ni kushindwa kujimudu kufanya ngono bila nyenzo (kula chabo kwa wenzio wanapofanya ndio unyegeke)
 
Wajameni,naombeni mnijuze hasara na faida za kuangalia picha za ngono!


Haina HASARA ... Ni raha tu

-- KAMA NI DDUME itaongeza unene & urefu wa ROMBO

-- Kama ni JIKE ukubwa wa k utakuwa as well...!!!

Umeelewa...!!!
 
Kwenye soshologia inafundishwa kwamba kuangalia picha za ngono na kuchijua ni kitu cha kawaida kwa vijana wanaobalehe, na ni vigumu kumzuia kwa sababu ni moja ya process za kukua, tatizo linakuja kama amezidisha sana kiasi cha kuathili maisha yake ya kila siku, au kama anaendelea na hiyo tabia hadi ukubwani sana. Cha kufanya wewe mwambie tu kwamba hiyo si tabia nzuri na ujaribu kum-encourage kuwa na marafiki wa kike (haimaanishi kum-ecourage kufanya ngono) ila usimpige, ataacha tu muda ukifika.
 
ndo matatizo ya kuwazoesha watoto mambo yalee sasa faida yake ndo hiyo kwa ushauri 2 awe bize sana either kwa masomo au kwa kazi zingine au kimichezo zaidi
 
Mkuu nime gundua swali lako ni zuri sana,sema ume uliza watu
wenye matatizo mengi sana katika maisha yao,na wana tafutia pa kupumulia.



Ni vizuri sana kama utakaa nae,muulize akimaliza kuangalia hua ana fanya nini?
Ana faidika nini?
Anaangalia kwa mda gani?
Kuna nini ana jifunza?
Alianza lini?
Nani alimfundisha?

Maswali haya yata kufanya ujue ni kipi ana pungukiwa,kama baba kaanae uongee nae ili ajue
madhara ya kuangalia (ambayo ndio umetaka kujua hapa ili uongee nae,hatua nzuri)



Kilicho nisikitisha ni kwamba kila akiangalia una mpiga!!
Kwanini unaona kumpiga ndio suluhisho la yeye kuto kuangalia?
Ukimkuta anaangalia,(lazima utaona pia alicho kua anaangalia ) una jisikiaje?

Kama ni vibaya,anzia hapo hapo,hilo ndio baya la kwanza la kumuonya nalo,...ukimpiga ataanza
kuangalizia kwa marafiki (na huko akiangalia za wanaume kwa wanaume na yuko na rafiki zake
itakua mbaya zaidi).Shukuru sana anaangalizia nyumbani,...usimpige.




Haya ni moja kati ya matokeo ya kuangalia picha za ngono,ata jichua.
Kujichua kuna faida na hasara zake,ina tegemea na anae jichua ana jichua hivo
akiwa na mawazo gani,yuko na nani,na kwanini. Ni somo pana sana hili.



Kwa umri wake,hili nalo ni zuri kwa upande mmoja,ita mfanya asiwe na hamu na
videmu,lakini kwa picha ya baadae sana,sio nzuri kwake. (faida za mda mfupi hizi)

Kwa ufupi tu ni kwamba,mwambie sio nzuri kisaikolojia.
Hadi ajue kupigana na saikolojia yake wakati ana litenda (kujichua,matokeo ya picha za ngono) hatakua
ana faidika na picha hizo.

Hasara nyingine ni kwamba asipo jichua,atatafuta dadapoa,ata kanyaga umeme na una mpenda sana
kumpoteza.


Angekua mtu mzima (kama wewe) haya ni muhimu sana,ila kama tu gari yako haiwaki
hadi isukumwe.

Asante.

Mwisho.



Engliberm , Type na wengine,....Hizi ni dharau za kijinga,hamna faida yoyote mnayo ipata kwa dhihaka hii.

Mkuu nimekupata,ngoja niende nae taratibu...
 
Last edited by a moderator:
Hizi zinztumika kama stimu kwa watu ambao stimu ziko mbali na
wakati mwingine kama darasa sasa wewe cjui unatakaje maana
hata style nyingine huwezi kumpiga wife home utavunja ndoa

Nilikuwa nauliza hasa kwa vijana wadogo,na hasa hasa madhara yake
 
anahitati guidance and councelling mkuu ndio tiba pekee,na ifanywe na mtaala sio ww, kwana waweza muongezea matatizo mengine, athari yake anaweza kuja kupata kesi ya ubakaji au yeye mwenyewe kuathirika kisaikolojia!

Asante kwa ushauri...
 
Kwenye soshologia inafundishwa kwamba kuangalia picha za ngono na kuchijua ni kitu cha kawaida kwa vijana wanaobalehe, na ni vigumu kumzuia kwa sababu ni moja ya process za kukua, tatizo linakuja kama amezidisha sana kiasi cha kuathili maisha yake ya kila siku, au kama anaendelea na hiyo tabia hadi ukubwani sana. Cha kufanya wewe mwambie tu kwamba hiyo si tabia nzuri na ujaribu kum-encourage kuwa na marafiki wa kike (haimaanishi kum-ecourage kufanya ngono) ila usimpige, ataacha tu muda ukifika.

Nimekupata TKNL
 
Back
Top Bottom