Baada ya Waziri mkuu Mh.Pinda kuweka wazi wakuu wa wilaya na mikoa kufanya kazi za chama (ccm).Mkuu wa wilaya kilosa kata ya Ruaha ameshindwa kufungua zoezi la sasa baada ya kukosa watu.mpaka sasa vipo viti tu na walimu wachache ambao watahusika katika zoezi la sensa.wanananchi wanasema kwamba yeye amekuja kufanya kazi ya chama.source.mwenye nipo kwenye mkutano.